Skip to content
CGFM
  • Home
  • Listen Live
  • News
  • Presenters
  • Gallery
  • Advertise

Baadhi ya wanasiasa katika halmashauri ya Manispaa ya TABORA…

  • October 27, 2017
Mr. Mshumbusi , EDGAR PASTORY.

Baadhi ya wanasiasa hao,KANANDA PAULO  diwani wa kata ya MBUGANI kupitia Chama cha Mapinduzi CCM na Katibu wa Chama cha Demekrasia na Maendeleo-CHADEMA,MSABAHA KAMBAMBOVU wamesema Tume ya Uchaguzi na Mipaka nchini KENYA ingemaliza kwanza tofauti zilizopo kabla ya kufanyika uchaguzi.

Kwa upande wake,Mchambuzi wa masuala ya kisiasa EDGAR PASTORY ambaye ni  Mhadhiri Msaidizi katika Chuo kikuu kishiriki cha Mtakatifu AGUSTINO cha AMUCTA cha mjini TABORA amesema kufanyika kwa uchaguzi nchini KENYA kwa kushirikisha wafuasi wa chama kimoja kunaweza kusababisha mpasuko nchini humo.

Mhadhiri PASTORY ameongeza kuwa serikali ya KENYA iangalie uweekano wa kurudi katika meza ya mazungumzo ili kufikia muafaka jinsi ya kumaliza mgogoro wa kisiasa uliopo nchini humo.

Mpinzani Mkuu RAILA ODINGA na Muungano wa vyama vya upinzani wa NASA wamesusia uchaguzi huo kutokana na kutokuwa na imani na Tume ya Uchaguzi na Mipaka ya nchi hiyo baada ya kufutwa kwa uchaguzi uliofanyika Agosti nane  mwaka huu.

Share this:

  • Click to share on Twitter (Opens in new window)
  • Click to share on Facebook (Opens in new window)
  • Click to share on Google+ (Opens in new window)

Related

Mtu mmoja amekutwa amekufa katika nyumba ya kulala wageni katika wilaya ya URAMBO mkoani TABORA.
Serikali mkoani TABORA imewaonya wanaokatisha msomo ya wanafunzi kwa kuwapa mimba au kuwatumikisha.

Related articles

Msanii Sam wa Ukweli ameaga…
Mazishi ya pacha Maria na…
Vladmir Putin aizuru Austria.
Jeshi la Zimamoto lakanusha madai…
TABORA: Biashara ya Magimbi yashamiri…
Serikali imetenga fedha kwa ajili…

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

On Air Now

Download CG Google App here

CLICK TO PLAY CG ONLINE TV

Advertise here

ABOUT US

CG FM RADIO is the radio station that based in Tabora – Tanzania that targets all age groups. Due to its moral observation and ethical programs, CG FM radio continues to have a lot of audience which makes us the best on western zone.

YOU ARE HOME

TWITTER

My Tweets

Menu

  • HOME
  • News
  • Listen Live
  • Advertise