Skip to content
CGFM
  • Home
  • Listen Live
  • News
  • Presenters
  • Gallery
  • Advertise
International

Baraza la usalama la Umoja wa Mataifa limelaani kitendo…

  • August 30, 2017August 30, 2017

Baraza la usalama la Umoja wa Mataifa limelaani kitendo cha KOREA KASKAZINI cha kurusha kombora kupitia anga ya JAPAN huku nchi hiyo ikithibitisha kutekeleza kitendo hicho.
Taarifa iliyotolewa na MAREKANI haikutishia kuiwekea vikwazo vipya KOREA KASKAZINI.
Lakini Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limeitaka KOREA KASKAZINI kusitisha majaribio zaidi na kusitisha mpango wake wa nyuklia.
Wanachama 15 wa Baraza hilo la Usalama wameitaka KOREA KASKAZINI kuchukua hatua za haraka kupunguza hali ya wasiwasi uliyopo.
Majeshi ya KOREA KUSINI na MAREKANI yamekuwa yakishiriki mazoezi ya pamoja karibu na mpaka wa KOREA KASKAZINI,jambo ambalo KOREA KASKAZINI inasema ni mazoezi yenye kulenga uvamizi wa kijeshi.

Share this:

  • Click to share on Twitter (Opens in new window)
  • Click to share on Facebook (Opens in new window)
  • Click to share on Google+ (Opens in new window)

Related

Chamberlain amekataa uhamisho.
Marekani yatathmini kufunga ubalozi wake Cuba.

Related articles

Mabaki ya ndege iliotoweka na…
Refa Mkenya aliyeteuliwa na Fifa…
Rais Madagascar ateuwa waziri mkuu…
Bodi ya usimamizi wa shule…
Mchungaji auawa akiwabatiza waumini Ziwani
Guardiola alinichukulia kama adui na…

On Air Now

Download CG Google App here

CLICK TO PLAY CG ONLINE TV

Advertise here

ABOUT US

CG FM RADIO is the radio station that based in Tabora – Tanzania that targets all age groups. Due to its moral observation and ethical programs, CG FM radio continues to have a lot of audience which makes us the best on western zone.

YOU ARE HOME

TWITTER

My Tweets

Menu

  • HOME
  • News
  • Listen Live
  • Advertise