Skip to content
CGFM
  • Home
  • Listen Live
  • News
  • Presenters
  • Gallery
  • Advertise
Local

Basi la AN Classic (MWANZA-TABORA) lalamikiwa na abiria kwa…

  • December 29, 2017

Abiria wanaosafiri kuelekea MPANDA wamelilalamikia Basi la AN CLASSIC linalofanya safari zake MWANZA – TABORA kuwafaulisha badala ya kuwafikisha mwisho wa safari yao kama ilivyoainishwa kwenye tiketi zao.

Wakizungumza na CG FM baada ya kushushwa ndani ya basi hilo katika stendi mpya ya mabasi mjini TABORA abiria hao wamesema kitendo hicho kimewakwaza kwani tiketi zao ni za moja kwa moja hadi MPANDA na hawakufahamishwa kuwa gari hilo halifiki huko.

Afisa mfawidhi wa Mamlaka ya udhibiti wa nchi kavu na majini –SUMATRA Mkoa wa TABORA JOSEPH MICHAEL amekemea kitendo cha kufaulisha abiria na  kuamuru basi hilo kuchukua kibali cha muda ili liwapeleke abiria hao MPANDA.

Share this:

  • Click to share on Twitter (Opens in new window)
  • Click to share on Facebook (Opens in new window)
  • Click to share on Google+ (Opens in new window)

Related

Nchi za Ulaya kushirikiana zaidi kijeshi
Waendesha baiskeli maarufu kama DALADALA Watakiwa kufuata sharia za usalama barabarani.

Related articles

Msanii Sam wa Ukweli ameaga…
Mazishi ya pacha Maria na…
Vladmir Putin aizuru Austria.
Jeshi la Zimamoto lakanusha madai…
TABORA: Biashara ya Magimbi yashamiri…
Serikali imetenga fedha kwa ajili…

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

On Air Now

Download CG Google App here

CLICK TO PLAY CG ONLINE TV

Advertise here

ABOUT US

CG FM RADIO is the radio station that based in Tabora – Tanzania that targets all age groups. Due to its moral observation and ethical programs, CG FM radio continues to have a lot of audience which makes us the best on western zone.

YOU ARE HOME

TWITTER

My Tweets

Menu

  • HOME
  • News
  • Listen Live
  • Advertise