Skip to content
CGFM
  • Home
  • Listen Live
  • News
  • Presenters
  • Gallery
  • Advertise
Entertainment

Bill Nas Afunguka kuhusu ukimya katika game

  • February 20, 2018February 20, 2018

Msanii wa muziki Bongo, Bill Nass amefunguka kuhusu ukimya wake katika game.

Rapper huyo amejibu tetesi zinazoeleza kuwa ameshuka kimuziki baada ya Petty Man kuondoka katika label ya LFLG, Bill Nass ameiambia EATV kuwa hilo halina ukweli wowote.

“Huwezi kuzungumzia kushuka au kupanda kwa sababu bado sijatoa wimbo na fan base yangu ni ile ile angalau ningekuwa nimetoa nyimbo zinakataa,” amesema Bill Nass.

“Watu wanatoa nyimbo hata saba, nane, tisa zinakataa mimi sijatoa hata wimbo mmoja ukakataa kwa hiyo bado naamini material ambayo ninayo ni mengi,” amesisitiza.

Tangu kuanza kwa mwaka huu Bill Nass hajatoa wimbo hata mmoja zaidi ya kushirikishwa katika ngoma ya Rosa Ree ‘Marathon’. Ngoma yake ya mwisho kutoa ni ‘Sina Jambo’ iliyotoka Augost mwaka jana.

Share this:

  • Click to share on Twitter (Opens in new window)
  • Click to share on Facebook (Opens in new window)
  • Click to share on Google+ (Opens in new window)

Related

Mauaji ya mwanafunzi Tanzania: Polisi wawahoji maafisa wakuu wa Chadema
Masoud Djuma azungumzia hali ya Manula na Bocco kucheza leo

Related articles

Mashabiki wa klabu ya YANGA…
Lagos, NIGERIA: Yemi Alade na…
STEPH CURRY aiongoza Golden State…
ShiiKANE Diamond alistahili tuzo
The Story of Adisson yaharibu…
Nicki Minaj kuachia albamu yake…

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

On Air Now

Download CG Google App here

CLICK TO PLAY CG ONLINE TV

Advertise here

ABOUT US

CG FM RADIO is the radio station that based in Tabora – Tanzania that targets all age groups. Due to its moral observation and ethical programs, CG FM radio continues to have a lot of audience which makes us the best on western zone.

YOU ARE HOME

TWITTER

My Tweets

Menu

  • HOME
  • News
  • Listen Live
  • Advertise