Skip to content
CGFM
  • Home
  • Listen Live
  • News
  • Presenters
  • Gallery
  • Advertise
Local

Daktari aelezea visababishi vya watoto kufariki tumboni.

  • January 11, 2018

Kupitiliza kwa  mimba,magonjwa ya kisukari, shinikizo la damu  na kifafa cha uzazi  ni miongoni mwa visababishi vya watoto kufariki tumboni au mama mjamzito kujifungua mtoto mfu.

Daktari wa kitengo cha magonjwa ya wanawake afya ya uzazi na kizazi  MNUBI BAGUMA katika  hospitali ya Rufaa ya mkoa wa TABORA KITETE amebainisha visababishi vingine kuwa ni maambukizi ya virusi Malaria na Kaswende.

Amesema mama mjamzito akishika ujauzito chini ya miaka 18 na zaidi ya miaka 35 kuna uwezekano mkubwa wa kupitiliza wakati wa kujifungua na hivyo kusabisha mtoto kufariki tumboni.

Share this:

  • Click to share on Twitter (Opens in new window)
  • Click to share on Facebook (Opens in new window)
  • Click to share on Google+ (Opens in new window)

Related

Jeshi la polisi mkoani TABORA limewataka madereva kufuata sheria
Zijue sababu za CR7 Cristiano kuwa wa 49 duniani kwa THAMANI!!!!

Related articles

Msanii Sam wa Ukweli ameaga…
Mazishi ya pacha Maria na…
Vladmir Putin aizuru Austria.
Jeshi la Zimamoto lakanusha madai…
TABORA: Biashara ya Magimbi yashamiri…
Serikali imetenga fedha kwa ajili…

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

On Air Now

Download CG Google App here

CLICK TO PLAY CG ONLINE TV

Advertise here

ABOUT US

CG FM RADIO is the radio station that based in Tabora – Tanzania that targets all age groups. Due to its moral observation and ethical programs, CG FM radio continues to have a lot of audience which makes us the best on western zone.

YOU ARE HOME

TWITTER

My Tweets

Menu

  • HOME
  • News
  • Listen Live
  • Advertise