Skip to content
CGFM
  • Home
  • Listen Live
  • News
  • Presenters
  • Gallery
  • Advertise
News

Droo Kombe la FA: Liverpool uso kwa uso na…

  • January 9, 2018

Klabu ya Yeovil Town inayocheza ligi ya daraja la tatu, ambayo ndiyo klabu ya ngazi ya chini zaidi iliyosalia katika Kombe la FA msimu huu, imepangwa kukutana na mabingwa mara 12 wa kombe hilo Manchester United raundi ya nne.

Tottenham pia watakutana na klabu ya League Two, Newport County.

Viongozi wa Ligi ya Premia Manchester City wamepangwa kukutana na mshindi kati ya Cardiff City na Mansfield.

Nottingham Forest, ambao waliwaondoa mabingwa watetezi Arsenal Jumapili watakutana na wenzao wa ligi ya Championship Hull City.

Mechi za raundi ya nne zitachezwa wikendi ya 26-29 Januari.

Droo kamili raundi ya nne:

Liverpool v West Brom

Peterborough v Fleetwood/Leicester

Huddersfield v Birmingham

Notts County v Wolves/Swansea

Yeovil v Manchester United

Carlisle/Sheffield Wednesday v Stevenage/Reading

Cardiff/Mansfield v Manchester City

MK Dons v Coventry

Millwall v Rochdale

Southampton v Watford

Middlesbrough v Brighton/Crystal Palace

Bournemouth/Wigan v Shrewsbury/West Ham

Hull v Nottingham Forest

Newport County v Tottenham

Norwich/Chelsea v Newcastle

Sheffield United v Preston

Share this:

  • Click to share on Twitter (Opens in new window)
  • Click to share on Facebook (Opens in new window)
  • Click to share on Google+ (Opens in new window)

Related

Tetesi za Soka Ulaya Jumanne 09.01.2018
Trump asema itakuwa ‘raha’ kushindana na Oprah Winfrey 2020

Related articles

Guardiola alinichukulia kama adui na…
TABORA: Ushiriki wa wazazi kusoma…
Milioni 334 zatengwa kwa ajili…
Macron aanza ziara yake nchini…
Mwakyembe aagiza Nandy akamatwe, Diamond…
Arsenal yanusurika kombe la Yuropa,…

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

On Air Now

Download CG Google App here

CLICK TO PLAY CG ONLINE TV

Advertise here

ABOUT US

CG FM RADIO is the radio station that based in Tabora – Tanzania that targets all age groups. Due to its moral observation and ethical programs, CG FM radio continues to have a lot of audience which makes us the best on western zone.

YOU ARE HOME

TWITTER

My Tweets

Menu

  • HOME
  • News
  • Listen Live
  • Advertise