Skip to content
CGFM
  • Home
  • Listen Live
  • News
  • Presenters
  • Gallery
  • Advertise

HUKUMU YA ELIZABETH ‘LULU’ MICHAEL NI NOVEMBER 13.

  • October 26, 2017

Mahakama Kuu ya Tanzania jijini Dar es Salaam leo imetaja tarehe ya hukumu ya kesi ya kuua bila kukusudia inayomkabili staa wa filamu, Elizabeth ‘Lulu’ Michael. Lulu anakabiliwa na kesi ya kumuua Steven Kanumba bila kukusudia, April 2012.

Hukumu hiyo sasa itatolewa November 13. Hatua hiyo imekuja baada ya wazee wa baraza la mahakama hiyo kutoa maoni yao mahakamani hapo ambapo wote watatu wamesema Lulu alimuua Kanumba bila kukusudia.

Kesi hiyo imesikilizwa kwa siku 5 mfululizo.

Share this:

  • Click to share on Twitter (Opens in new window)
  • Click to share on Facebook (Opens in new window)
  • Click to share on Google+ (Opens in new window)

Related

SOUND ENGINEER WA CARDI B AMUOMBA RADHI BEYONCE KWA KUVUJISHA TAARIFA ZA COLLABO YAO
Kaya 72 katika kijiji cha IMALAKASEKO,kata ya GOWEKO wilayani UYUI zimenufaika na mpango wa kunusuru kaya maskini wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii nchini kwa kuanzisha miradi ya kilimo na ufugaji.

Related articles

Mashabiki wa klabu ya YANGA…
Lagos, NIGERIA: Yemi Alade na…
STEPH CURRY aiongoza Golden State…
ShiiKANE Diamond alistahili tuzo
The Story of Adisson yaharibu…
Nicki Minaj kuachia albamu yake…

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

On Air Now

Download CG Google App here

CLICK TO PLAY CG ONLINE TV

Advertise here

ABOUT US

CG FM RADIO is the radio station that based in Tabora – Tanzania that targets all age groups. Due to its moral observation and ethical programs, CG FM radio continues to have a lot of audience which makes us the best on western zone.

YOU ARE HOME

TWITTER

My Tweets

Menu

  • HOME
  • News
  • Listen Live
  • Advertise