Skip to content
CGFM
  • Home
  • Listen Live
  • News
  • Presenters
  • Gallery
  • Advertise
News

Jumla ya watoto KUMI NA MMOJA wamezaliwa Siku ya…

  • January 2, 2018

Jumla ya watoto KUMI NA MMOJA wamezaliwa Siku ya Mwaka Mpya katika Hospitali ya Rufaa ya mkoa wa TABORA- KITETE.

Muuguzi Kiongozi wa wodi ya Wazazi katika hospitali ya Rufaa ya mkoa wa TABORA,ELIWAMPUKA MBWANA amesema kuwa watoto hao wamezaliwa kati ya mkeshawa Mwaka Mpya hadi Jumatatu usiku.

Bi ELIWAMPUKA amesema kati ya wanawake 11,SABA kati yao wamejifungua kawaida na WANNE wamejifungua kwa njia ya upasuaji na hakuna Mama wala mtoto aliyefariki dunia.

Share this:

  • Click to share on Twitter (Opens in new window)
  • Click to share on Facebook (Opens in new window)
  • Click to share on Google+ (Opens in new window)

Related

Umuhimu wa masomo ya ziada kwa Wanafunzi.
Rais Magufuli: Kutoa misamaha kwa wafungwa 8,157 ilikuwa ni mipango ya Mungu.

Related articles

Guardiola alinichukulia kama adui na…
TABORA: Ushiriki wa wazazi kusoma…
Milioni 334 zatengwa kwa ajili…
Macron aanza ziara yake nchini…
Mwakyembe aagiza Nandy akamatwe, Diamond…
Arsenal yanusurika kombe la Yuropa,…

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

On Air Now

Download CG Google App here

CLICK TO PLAY CG ONLINE TV

Advertise here

ABOUT US

CG FM RADIO is the radio station that based in Tabora – Tanzania that targets all age groups. Due to its moral observation and ethical programs, CG FM radio continues to have a lot of audience which makes us the best on western zone.

YOU ARE HOME

TWITTER

My Tweets

Menu

  • HOME
  • News
  • Listen Live
  • Advertise