Skip to content
CGFM
  • Home
  • Listen Live
  • News
  • Presenters
  • Gallery
  • Advertise
Local

KIGOMA: Upungufu wa Madaktari katika hospitali ya rufaa ya…

  • March 13, 2018

Upungufu wa madaktari bingwa na baadhi ya vipimo muhimu ikiwemo mashine ya CT Scan katika hospitali ya rufaa ya mkoa wa KIGOMA -MAWENI unasababisha wagonjwa wengi kuingia gharama za kufuata huduma hizo katika hospitali nyingine za rufaa.

Hali hiyo imechangia hospitali hiyo kutoa rufaa kwa wagonjwa kati ya 40 hadi 50 kwa mwezi ili wapate huduma katika hospitali za BUGANDO, MUHIMBILI  na KCMC MOSHI, jambo linalochangia wagonjwa wengi kushindwa kumudu gharama hizo huku hospitali ikiingia gharama za kuwasafirisha wagonjwa wakiwa mahututi.

Kwa mujibu wa mganga mkuu wa mkoa wa KIGOMA,Daktari PAUL CHAWOTE a hospitali ya MAWENI ina madaktari bingwa wawili tu kati ya 21 wanaohitajika.

Pia amesema watumishi wengine wanahitajika ili kupunguza tatizo katika vituo vya afya na zahanati hasa maeneo ya vijijini.

Share this:

  • Click to share on Twitter (Opens in new window)
  • Click to share on Facebook (Opens in new window)
  • Click to share on Google+ (Opens in new window)

Related

Theresa May: Urusi imehusika kumshambulia Sergei Skripal
Mhe. Ngeleja, Nape Nnauye, Juma Nkamia wateuliwa.

Related articles

Msanii Sam wa Ukweli ameaga…
Mazishi ya pacha Maria na…
Vladmir Putin aizuru Austria.
Jeshi la Zimamoto lakanusha madai…
TABORA: Biashara ya Magimbi yashamiri…
Serikali imetenga fedha kwa ajili…

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

On Air Now

Download CG Google App here

CLICK TO PLAY CG ONLINE TV

Advertise here

ABOUT US

CG FM RADIO is the radio station that based in Tabora – Tanzania that targets all age groups. Due to its moral observation and ethical programs, CG FM radio continues to have a lot of audience which makes us the best on western zone.

YOU ARE HOME

TWITTER

My Tweets

Menu

  • HOME
  • News
  • Listen Live
  • Advertise