Skip to content
CGFM
  • Home
  • Listen Live
  • News
  • Presenters
  • Gallery
  • Advertise

Lady Jaydee apata uongozi mpya baada ya kutemana na…

  • November 24, 2017

Malkia wa muziki wa Bongo Flava, Lady Jaydee amefanikiwa kupata uongozi mpya ambao utasimamia kazi zake za muziki baada ya kuachana na Seven Mosha.

Akiongea na Bongo5, mtu wa karibu wa msanii huyo amethibitisha hilo kuwa Jide kwa sasa amepata uongozi huo mpya wa kampuni kutoka Nigeria ambao wanafanya kazi nchini Kenya.

Chanzo hiko kimesema kampuni hiyo inafahamika kama Taurus Muzik ambayo pia inafanya kazi na wasanii kama Dela Maranga na Kagwe Mungai (wote kutoka Kenya), na Urban Hype kutoka Zambia.

Tayari inadaiwa kuwa Jaydee ameshaanza kufanya kazi na kampuni hiyo na watatoa taarifa rasmi hapo baadae. Jide atatarajiwa kuwa na ziara ya muziki nchini Afrika Kusini mwezi Disemba mwaka huu.

Chanzo: Bongo5

Share this:

  • Click to share on Twitter (Opens in new window)
  • Click to share on Facebook (Opens in new window)
  • Click to share on Google+ (Opens in new window)

Related

Janet Jackson na Jermaine Dupri waanza kunyemeleana upya
Mbunge aibua mjadala kwa kumleta mwanae bungeni.

Related articles

Mashabiki wa klabu ya YANGA…
Lagos, NIGERIA: Yemi Alade na…
STEPH CURRY aiongoza Golden State…
ShiiKANE Diamond alistahili tuzo
The Story of Adisson yaharibu…
Nicki Minaj kuachia albamu yake…

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

On Air Now

Download CG Google App here

CLICK TO PLAY CG ONLINE TV

Advertise here

ABOUT US

CG FM RADIO is the radio station that based in Tabora – Tanzania that targets all age groups. Due to its moral observation and ethical programs, CG FM radio continues to have a lot of audience which makes us the best on western zone.

YOU ARE HOME

TWITTER

My Tweets

Menu

  • HOME
  • News
  • Listen Live
  • Advertise