Skip to content
CGFM
  • Home
  • Listen Live
  • News
  • Presenters
  • Gallery
  • Advertise
Local

Mapacha waliounganaTanzania wamepelekwa kwa uchunguzi zaidi wa kiafya

  • January 4, 2018January 4, 2018

Mapacha walioungana Maria na Consolata ambao kwa sasa wanasoma chuo kikuu cha RUCO mkoani Iringa kusini magharibi mwa Tanzania,wamepelekwa katika hospitali ya taifa Muhimbili jijini Dar es Salaam nchini Tanzania ,kwa uchunguzi zaidi wa kiafya.

BBC iliwahi kuwatembelea mapacha hao wakati wakijiandaa na mitihani yao ya kidato cha sita shule ya sekondari ya udizungwa mkoani humo,ambapo waliweka wazi mipango yao ya baadaye wakiwa katika hali hiyo hiyo huku wakiwa ni wenye furaha na afya njema.

Anna Nkinda ni afisa uhusiano wa taasisi ya moyo ya Jakaya Kikwete,anaelezea walivyowapokea mapacha hao.

Share this:

  • Click to share on Twitter (Opens in new window)
  • Click to share on Facebook (Opens in new window)
  • Click to share on Google+ (Opens in new window)

Related

Equatorial Guinea yazima jaribio la mapinduzi
Trump amshambulia msaidizi wake wa zamani Steve Bannon

Related articles

Msanii Sam wa Ukweli ameaga…
Mazishi ya pacha Maria na…
Vladmir Putin aizuru Austria.
Jeshi la Zimamoto lakanusha madai…
TABORA: Biashara ya Magimbi yashamiri…
Serikali imetenga fedha kwa ajili…

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

On Air Now

Download CG Google App here

CLICK TO PLAY CG ONLINE TV

Advertise here

ABOUT US

CG FM RADIO is the radio station that based in Tabora – Tanzania that targets all age groups. Due to its moral observation and ethical programs, CG FM radio continues to have a lot of audience which makes us the best on western zone.

YOU ARE HOME

TWITTER

My Tweets

Menu

  • HOME
  • News
  • Listen Live
  • Advertise