Skip to content
CGFM
  • Home
  • Listen Live
  • News
  • Presenters
  • Gallery
  • Advertise
Local

Mhe. Zitto aikaba koo serikali ya Magufuli, atoa ushauri…

  • May 1, 2018

Mbunge wa Kigoma Mjini, Mhe. Zitto Kabwe amepingana na maamuzi ya serikali ya kukataa kuongeza mishahara ya wafanyakazi kwa kudai kuwa kuongeza mshahara kila mwaka kwa wafanyakazi ni suala la kisheria na ni la lazima.

Picha inayohusiana

Zitto Kabwe

Mhe. Zitto ametoa maoni hayo leo Mei 01, 2018 kupitia ukurasa ukurasa wake wa mtandao wa Twitter ambapo amesema serikali ni lazima iongeze mishahara ili wafanyakazi waweze kumudu gharama za maisha ikiwemo mfumuko wa bei.

“Kupandisha mishahara ya Wafanyakazi ni suala la kisheria. Kiutaratibu Serikali inapaswa kupandisha mishahara kila mwaka kulingana na mfumuko ya Bei ili kulinda nguvu ya manunuzi ya Mfanyakazi. Vyama vya Wafanyakazi HAVIPASWI kukubali maelezo ya kisiasa.“ameandika Zitto.

Hata hivyo, Zitto amevishauri vyama vya Wafanyakazi nchini kupingana na maamuzi hayo ya serikali “Vyama vya Wafanyakazi havipaswi kukubali maelezo ya kisiasa”.

Kauli ya Mhe. Zitto Kabwe imekuja yakiwa ni masaa machache yamepita baada ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli kutangaza kuwa serikali haitaongeza mishahara ya wafanyakazi kwa mwaka huu.

Share this:

  • Click to share on Twitter (Opens in new window)
  • Click to share on Facebook (Opens in new window)
  • Click to share on Google+ (Opens in new window)

Related

TABORA: Mbio za Mwenge wa Uhuru wazindua miradi sita.
SIPRI: Matumizi ya fedha kijeshi yaongezeka.

Related articles

Msanii Sam wa Ukweli ameaga…
Mazishi ya pacha Maria na…
Vladmir Putin aizuru Austria.
Jeshi la Zimamoto lakanusha madai…
TABORA: Biashara ya Magimbi yashamiri…
Serikali imetenga fedha kwa ajili…

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

On Air Now

Download CG Google App here

CLICK TO PLAY CG ONLINE TV

Advertise here

ABOUT US

CG FM RADIO is the radio station that based in Tabora – Tanzania that targets all age groups. Due to its moral observation and ethical programs, CG FM radio continues to have a lot of audience which makes us the best on western zone.

YOU ARE HOME

TWITTER

My Tweets

Menu

  • HOME
  • News
  • Listen Live
  • Advertise