Skip to content
CGFM
  • Home
  • Listen Live
  • News
  • Presenters
  • Gallery
  • Advertise
News

Milioni 334 zatengwa kwa ajili kuzigawa kwenye vikundi vya…

  • May 16, 2018

Jumla ya shilingi milioni 334 zimetengwa na Halmashauri ya wilaya ya KALIUA  kwa ajili ya kuzigawa kwenye vikundi vya  wanawake wa vijana.

Akizungumza na waandishi wa habari,mbunge wa jimbo la KALIUA,MAGDALENA SAKAYA amesema kutokana na utoaji wa fedha hizo umeonyesha matokeo chanya kwa wanawake na vijana wilayani humo.

Amesema kwa sasa halmashauri ya wilaya ya KALIUA imeweka imetoa kipaumbele kwa mikopo kwa ajili ya wanawake na vijana ili kuwakopesha na waowaweze kushughulika na uzalishaji mali.

Katika kikao cha 30 cha mkutano wa 11 wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa TANZANIA,mbunge wa viti maalumu kupitia CCM,SIKUDHAN CHIKAMBO ametaka kujua serikali inafanya nini kuziwezesha halmashauri nchini kuweza kutenga fedha kwa ajili ya mikopo kwa wanawake na vijana.

Akijibu swali hilo,Naibu Waziri wa Nchi,Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa –TAMISEMI-GEORGE KAKUNDA amesema kuwa serikali imetoa maelekezo kwa halmashauri zote nchini kuhakikiha inafanya mapitio katika vyanzo vyake vya  mapato.

Halmashauri zote nchini zinatakiwa kutoa asilimia kumi kwa ajili ya wanawake, vijana na wenye ulemavu.

Share this:

  • Click to share on Twitter (Opens in new window)
  • Click to share on Facebook (Opens in new window)
  • Click to share on Google+ (Opens in new window)

Related

Wahamiaji Haramu 120 wakamatwa Tabora.
Wamiliki wa Mabasi, Madereva na Abiria watakiwa kutii kanuni ya 23 ya usafirishaji.

Related articles

Guardiola alinichukulia kama adui na…
TABORA: Ushiriki wa wazazi kusoma…
Macron aanza ziara yake nchini…
Mwakyembe aagiza Nandy akamatwe, Diamond…
Arsenal yanusurika kombe la Yuropa,…
Mwamuzi wa pambano la Joshua…

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

On Air Now

Download CG Google App here

CLICK TO PLAY CG ONLINE TV

Advertise here

ABOUT US

CG FM RADIO is the radio station that based in Tabora – Tanzania that targets all age groups. Due to its moral observation and ethical programs, CG FM radio continues to have a lot of audience which makes us the best on western zone.

YOU ARE HOME

TWITTER

My Tweets

Menu

  • HOME
  • News
  • Listen Live
  • Advertise