Skip to content
CGFM
  • Home
  • Listen Live
  • News
  • Presenters
  • Gallery
  • Advertise

Mkuu wa mkoa wa TABORA bwana AGGREY MWANRI ametaka…

  • September 25, 2017
Jiko Sanifu.

Mkuu wa mkoa wa TABORA,Bwana AGGREY MWANRI ameagiza watumishi wote  wa halmashauri ya wilaya ya UYUI walioshindwa kutekeleza mradi wa usimamizi endelevu wa Miombo wa ujenzi wa mabanda ya kuku na majiko sanifu wilayani humo wachukuliwe hatua.

Watumishi hao ni Afisa Kilimo,HUMPREY KIRUA,Mratibu wa Usimamizi Endelevu wa Misitu ya MIOMBO wilayani UYUI,Bwana  CLISPO KISOMA,Afisa Ushirika RASHID MPUYA,Afisa Nyuki JONAS NTABAGI,Afisa Mifugo VICENT CHACHA, Afisa Maendeleo ya Jamii,ROBERT MIGANGWE na Afisa Ardhi,IBRAHIM MRAGANA.

Mratibu wa mradi wa MIOMBO mkoa wa TABORA,Bwana JOB KIUNGO amesema fedha kwa ajili ya utekelezaji wa mradi imeshatumwa,lakini halmashauri haijazitumia fedha hizo.

Share this:

  • Click to share on Twitter (Opens in new window)
  • Click to share on Facebook (Opens in new window)
  • Click to share on Google+ (Opens in new window)

Related

Klabu ya soka ya RHINO RANGERS ya mkoani TABORA inashuka dimbani kesho kucheza na TRANSIT ya Shinyanga.
Wananchi wa mkoa wa TABORA wamehimizwa kujiunga na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya kwa Watoto maarufu kama TOTO AFYA KADI ili kuepuka kero ya matibabu.

Related articles

Msanii Sam wa Ukweli ameaga…
Mazishi ya pacha Maria na…
Vladmir Putin aizuru Austria.
Jeshi la Zimamoto lakanusha madai…
TABORA: Biashara ya Magimbi yashamiri…
Serikali imetenga fedha kwa ajili…

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

On Air Now

Download CG Google App here

CLICK TO PLAY CG ONLINE TV

Advertise here

ABOUT US

CG FM RADIO is the radio station that based in Tabora – Tanzania that targets all age groups. Due to its moral observation and ethical programs, CG FM radio continues to have a lot of audience which makes us the best on western zone.

YOU ARE HOME

TWITTER

My Tweets

Menu

  • HOME
  • News
  • Listen Live
  • Advertise