Skip to content
CGFM
  • Home
  • Listen Live
  • News
  • Presenters
  • Gallery
  • Advertise

Nelly adaiwa kubaka katika tamasha la muziki

  • October 9, 2017
Msanii Cornell Iral Haynes, Jr. a.k.a Nelly.

Msanii wa muziki nchini Marekani Nelly amedaiwa kumbaka mrembo wa miaka 21 katika mji wa Seattle bila kutumia kinga.

Nelly ambaye amewahi kushinda tuzo ya Grammy, alikutwa na sekeseke hilo siku ya Jumamosi na kupelekea kukamatwa na polisi ikiwa ni masaa machache baada ya kumaliza show yake maeneo ya King County.

Kufuati tukio hilo polisi wa Auburn, walimkiamata msanii huyo ambaye alikuwa katika gari linalodaiwa kutenda kosa hilo na kisha baadae walimuachilia.

Nelly ambaye amewahi kushinda tuzo ya Grammy, alikutwa na sekeseke hilo siku ya Jumamosi na kupelekea kukamatwa na polisi ikiwa ni masaa machache baada ya kumaliza show yake maeneo ya King County.

Hata hivyo mwanasheria wa msanii huyo Scott Rosenblum, amedai kuwa msichana huyo anayedai kubakwa na mteja wake ni muongo na atapeleka ushaidi wote ikiwemo kufichua tabia za msichana huyo anazofanya kujipatia pesa.

Nelly ametumia ukurasa wa Twitter kuomba radhi mashabiki zake na kukanusha tukio hilo la ubakaji linalodaiwa kufanyika siku ya Jumamosi wikiendi iliyopita.

Share this:

  • Click to share on Twitter (Opens in new window)
  • Click to share on Facebook (Opens in new window)
  • Click to share on Google+ (Opens in new window)

Related

Uturuki na Marekani katika mzozo wa utoaji visa.
Watu 12 wa Rohingya wafa maji wakijaribu kuvuka kwenda Bangladesh.

Related articles

Mashabiki wa klabu ya YANGA…
Lagos, NIGERIA: Yemi Alade na…
STEPH CURRY aiongoza Golden State…
ShiiKANE Diamond alistahili tuzo
The Story of Adisson yaharibu…
Nicki Minaj kuachia albamu yake…

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

On Air Now

Download CG Google App here

CLICK TO PLAY CG ONLINE TV

Advertise here

ABOUT US

CG FM RADIO is the radio station that based in Tabora – Tanzania that targets all age groups. Due to its moral observation and ethical programs, CG FM radio continues to have a lot of audience which makes us the best on western zone.

YOU ARE HOME

TWITTER

My Tweets

Menu

  • HOME
  • News
  • Listen Live
  • Advertise