Skip to content
CGFM
  • Home
  • Listen Live
  • News
  • Presenters
  • Gallery
  • Advertise

Rais Magufuli ampa maagizo haya Prof. Kabudi.

  • October 20, 2017

Mh. Rais ameyasema hayo baada majadiliano kati ya wataalamu wa Tanzania na wa kampuni ya Barrick Gold Mine kukamilika na  pande zote mbili .

“Nataka machimbo yote ya dhahabu mchakato kama huu ufanyike, pia nakuagiza Prof. Kabudi biashara ya madini ya Tanzanite na Almasi nako ni lazima kufuate utaratibu huu, asiyetaka aondoke,” amesema Rais Magufuli.

Hata hivyo  Rais Magufuli amewataka Watanzania kuunga mkono juhudi hizi badala ya baadhi yao kuzibeza kwa kuwa zina manufaa kwa taifa na wananchi wake.

Share this:

  • Click to share on Twitter (Opens in new window)
  • Click to share on Facebook (Opens in new window)
  • Click to share on Google+ (Opens in new window)

Related

Lupita Nyong’o; Weinstein alinifanyia unyanyasaji wa kijinsia
Jeshi la polisi Mkoani TABORA limewakamata wahamiaji haramu 21 kutoka Jamhuri ya kidemokrasia ya KONGO

Related articles

Mabaki ya ndege iliotoweka na…
Msanii Sam wa Ukweli ameaga…
Refa Mkenya aliyeteuliwa na Fifa…
Mazishi ya pacha Maria na…
Rais Madagascar ateuwa waziri mkuu…
Bodi ya usimamizi wa shule…

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

On Air Now

Download CG Google App here

CLICK TO PLAY CG ONLINE TV

Advertise here

ABOUT US

CG FM RADIO is the radio station that based in Tabora – Tanzania that targets all age groups. Due to its moral observation and ethical programs, CG FM radio continues to have a lot of audience which makes us the best on western zone.

YOU ARE HOME

TWITTER

My Tweets

Menu

  • HOME
  • News
  • Listen Live
  • Advertise