Skip to content
CGFM
  • Home
  • Listen Live
  • News
  • Presenters
  • Gallery
  • Advertise
Local

Rais Magufuli ashinda tuzo ya kiongozi bora Afrika.

  • April 16, 2018April 16, 2018

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli ameshinda tuzo ya The African Prestigious Awards 2017 kwenye kipengele cha kiongozi bora wa bara la Afrika.

Tuzo hizo ambazo zimetolewa Aprili 15, 2018 Wikiendi iliyopita jijini Accra nchini Ghana pia zilishuhudia Watanzania wengine watatu katika tasnia ya filamu wakiibuka washindi.

Waigizaji hao ni Monalisa na Ray Kigosi waliyoibuka washindi kwenye vipengele vya Muigizaji bora wa kike barani Afrika na Muigizaji bora wa kiume barani Afrika.

Na mwingine ni mpiga picha Moiz Hussein ambaye ameshinda tuzo ya mpiga picha bora barani Afrika kwa mwaka 2017.

Share this:

  • Click to share on Twitter (Opens in new window)
  • Click to share on Facebook (Opens in new window)
  • Click to share on Google+ (Opens in new window)

Related

Mwanasiasa shupavu wa Kenya afariki.
Watu 7 wafariki Dar Es Salaam kufuatia mvua kali inayonyesha.

Related articles

Msanii Sam wa Ukweli ameaga…
Mazishi ya pacha Maria na…
Vladmir Putin aizuru Austria.
Jeshi la Zimamoto lakanusha madai…
TABORA: Biashara ya Magimbi yashamiri…
Serikali imetenga fedha kwa ajili…

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

On Air Now

Download CG Google App here

CLICK TO PLAY CG ONLINE TV

Advertise here

ABOUT US

CG FM RADIO is the radio station that based in Tabora – Tanzania that targets all age groups. Due to its moral observation and ethical programs, CG FM radio continues to have a lot of audience which makes us the best on western zone.

YOU ARE HOME

TWITTER

My Tweets

Menu

  • HOME
  • News
  • Listen Live
  • Advertise