Skip to content
CGFM
  • Home
  • Listen Live
  • News
  • Presenters
  • Gallery
  • Advertise
Local

Serikali yaelezea umuhimu wa Takwimu kwa watu wenye ulemavu.

  • April 11, 2018

Serikali kupitia Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (Walemavu), Stella Ikupa imesema kuwa serikali inatambua umuhimu wa Takwimu kwa watu wenye ulemavu.

Ikupa ameyasema hayo leo bungeni wakati akijibu swali la Mbunge Khadija Nasri Ally alieuliza

Kutokuwa na Takwimu kwa watu wenye ulemavu inapelekea kushindwa kuwapatia mahitaji yao ipasavyo, Je ni lini serikali itaona umuhimu wa kufanya takwimu ili kupata idadi kamili ya watu wenye ulemavu?

“Kwa niaba ya Waziri Mkuu serikali inatambua umuhimu wa Takwimu kwa watu wenye ulemavu, sambamba na hilo kama tunavyofahamu sensa huwa inafanyika kila baada ya miaka 10 kutokana na kwamba ilifanyika mwaka 2012 kwahiyo tunategemea sensa nyingine ifanyike mwaka 2022. Lakini kwasababu ya umuhimu wa jambo hili yaani takwimu kwa watu wenye ulemavu tayari serikali imeshaanza kufanya mazungumzoya kuangalia ni kiasi gani tunaweza kufanya takwimu hizi kabla ya huo wakati,“ amesema Ikupa.

“Hili suala serikali imeliangalia kwa umuhimu wake kabisa kwasababu ni makusudi na nia ya serikali kuona kwamba inapanga bajeti zake kulingana na mahitaji ya watu wenye ulemavu.“

Share this:

  • Click to share on Twitter (Opens in new window)
  • Click to share on Facebook (Opens in new window)
  • Click to share on Google+ (Opens in new window)

Related

36 wahukumiwa kifo Misri baada ya kushambulia makanisa
Jeshi la polisi mkoani Tabora limewapongeza wananchi

Related articles

Msanii Sam wa Ukweli ameaga…
Mazishi ya pacha Maria na…
Vladmir Putin aizuru Austria.
Jeshi la Zimamoto lakanusha madai…
TABORA: Biashara ya Magimbi yashamiri…
Serikali imetenga fedha kwa ajili…

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

On Air Now

Download CG Google App here

CLICK TO PLAY CG ONLINE TV

Advertise here

ABOUT US

CG FM RADIO is the radio station that based in Tabora – Tanzania that targets all age groups. Due to its moral observation and ethical programs, CG FM radio continues to have a lot of audience which makes us the best on western zone.

YOU ARE HOME

TWITTER

My Tweets

Menu

  • HOME
  • News
  • Listen Live
  • Advertise