Skip to content
CGFM
  • Home
  • Listen Live
  • News
  • Presenters
  • Gallery
  • Advertise
Entertainment

STEPH CURRY aiongoza Golden State Warriors kushinda fainali dhid…

  • June 4, 2018

Mcheza mpira wa kikapu,STEPH CURRY wa timu ya GOLDEN STATE WARRIORS ya MAREKANI ameiongoza timu hiyo kushinda fainali ya pili ya ligi ya mpira wa kikapu nchini humo maarufu kama NBA baada ya timu yake kuwashinda CLEVELAND CAVALIERS vikapu 122 kwa 103.

CURRY amefunga alama thelathini na tatu huku alama 27 kati ya hizo akizipata kwa mabao tisa aliyofunga katika umbali mrefu.

Ushindi huo unakuwa wa pili kwa WARRIORS baada ya mchezo wa kwanza kushinda vikapu 111 wakiwafunga CAVALIERS vikapu 93 na kubakiza michezo miwili ya fainali msimu huu.

Share this:

  • Click to share on Twitter (Opens in new window)
  • Click to share on Facebook (Opens in new window)
  • Click to share on Google+ (Opens in new window)

Related

ShiiKANE Diamond alistahili tuzo
Lagos, NIGERIA: Yemi Alade na Madensa wake wafyatuliwa risasi.

Related articles

Mashabiki wa klabu ya YANGA…
Lagos, NIGERIA: Yemi Alade na…
ShiiKANE Diamond alistahili tuzo
The Story of Adisson yaharibu…
Nicki Minaj kuachia albamu yake…
Sababu za Alikiba kuitosa kolabo…

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

On Air Now

Download CG Google App here

CLICK TO PLAY CG ONLINE TV

Advertise here

ABOUT US

CG FM RADIO is the radio station that based in Tabora – Tanzania that targets all age groups. Due to its moral observation and ethical programs, CG FM radio continues to have a lot of audience which makes us the best on western zone.

YOU ARE HOME

TWITTER

My Tweets

Menu

  • HOME
  • News
  • Listen Live
  • Advertise