Skip to content
CGFM
  • Home
  • Listen Live
  • News
  • Presenters
  • Gallery
  • Advertise

TABORA: Serikali inaendelea na juhudi ya kuhakikisha tumbaku inanunuliwa.

  • November 9, 2017
Marobota ya Tumbaku yakiwa katika ghala.

Serikali imesema bado inaendelea na juhudi kuhakikisha tumbaku ya wakulima wa mkoa wa TABORA iliyobakia kwenye maghala inanunuliwa.

Kauli hiyo imetolewa na Waziri Mkuu, KASSIMU MAJALIWA wakati akijibu maswali ya papo kwa hapo bungeni mjini DODOMA ambapo amesema serikali inaendelea kuzungumza na makampuni ya ununuzi wa tumbaku na nchi mbalimbali ili kuhakikisha tumbaku yote iliyobakia inanunuliwa.

Alikua akijibu swali la mbunge wa Viti Maalumu mkoa wa TABORA,MUNDE TAMBWE aliyetaka tamko la serikali kuhusu kununua tumbaku ambayo bado iko kwenye maghala hali inayosababisha kero kubwa wakulima wa tumbakuĀ  mkoani TABORA.

Share this:

  • Click to share on Twitter (Opens in new window)
  • Click to share on Facebook (Opens in new window)
  • Click to share on Google+ (Opens in new window)

Related

Rais Magufuli avipa masharti Viwanda vya Sukari.
Magufuli na Museveni waweka jiwe la msingi la bomba la mafuta Uganda.

Related articles

Msanii Sam wa Ukweli ameaga…
Mazishi ya pacha Maria na…
Vladmir Putin aizuru Austria.
Jeshi la Zimamoto lakanusha madai…
TABORA: Biashara ya Magimbi yashamiri…
Serikali imetenga fedha kwa ajili…

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

On Air Now

Download CG Google App here

CLICK TO PLAY CG ONLINE TV

Advertise here

ABOUT US

CG FM RADIO is the radio station that based in Tabora – Tanzania that targets all age groups. Due to its moral observation and ethical programs, CG FM radio continues to have a lot of audience which makes us the best on western zone.

YOU ARE HOME

TWITTER

My Tweets

Menu

  • HOME
  • News
  • Listen Live
  • Advertise