Skip to content
CGFM
  • Home
  • Listen Live
  • News
  • Presenters
  • Gallery
  • Advertise
Local

TABORA: Shirika lisilo la kiserikali la JSI limekabidhi vifaa…

  • January 31, 2018

Shirika lisilo la kiserikali la JSI limekabidhi vifaa kazi kwa jamii katika halmashauri ya manispaa ya TABORA kwa ajili ya kuwafikia  watoto wanaishi kwenye mazingira hatarishi.

Akizungumza  katika makabidhiano hayo,Mkurugenzi wa shirika la JSI -kanda ya kati na kaskazini,ANTONI  MWENDAMAKAamesema lengo la kutoa vifaa hivyo ni kuwapa wasimamizi waliojitolea kuwajibika na kuwafikia kwa urahisi watoto wanaoishi katika mazingira hatarishi.

Akipokea vifaa hivyo,Mkurugenzi wa manispaa ya TABORA,BOSCO NDUNGURU amelipongeza shirika la JSI kwa kutoa vifaa hivyo na kwa kutoa mafunzo ya jinsi ya  kuwafikia walengwa.

Kwa upande wao baadhi ya wasimamizi wa vifaa hivyo katika kata za halmashauri ya manispaa ya TABORA,Mwalimu BLANDESI wa kata ya KAKOLA na Mwalimu JASHIA HAMISI wa kata ya IKOMWA amefurahi kukabidhiwa vifaa hivyo kwa sababu vitawasaidia kutekeleza majukumu yao na kuwa rahisi kuwafikia walengwa kwa wakati na kutatua matatizo yao.

Halmashauri ya manispaa ya TABORA imekabidhiwa kabati kumi na moja na baiskeli kumi na moja na shirika la JSI kanda ya kati na kaskazini yenye makao makuu yake mjini DODOMA.

Share this:

  • Click to share on Twitter (Opens in new window)
  • Click to share on Facebook (Opens in new window)
  • Click to share on Google+ (Opens in new window)

Related

TABORA: Wananchi wahimizwa kujitokeza katika maadhimisho ya Wiki ya Sheria
Rais Magufuli amuagiza Jenerali ANNA MAKALA Kuwachukulia hatua na kuwavua vyeo wakuu wa uhamiaji ambao  mikoa yao inatumiwa na wahamiaji kuingia nchini.

Related articles

Msanii Sam wa Ukweli ameaga…
Mazishi ya pacha Maria na…
Vladmir Putin aizuru Austria.
Jeshi la Zimamoto lakanusha madai…
TABORA: Biashara ya Magimbi yashamiri…
Serikali imetenga fedha kwa ajili…

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

On Air Now

Download CG Google App here

CLICK TO PLAY CG ONLINE TV

Advertise here

ABOUT US

CG FM RADIO is the radio station that based in Tabora – Tanzania that targets all age groups. Due to its moral observation and ethical programs, CG FM radio continues to have a lot of audience which makes us the best on western zone.

YOU ARE HOME

TWITTER

My Tweets

Menu

  • HOME
  • News
  • Listen Live
  • Advertise