Skip to content
CGFM
  • Home
  • Listen Live
  • News
  • Presenters
  • Gallery
  • Advertise

TABORA: Visima vichimbwe Ili kutatua tatizo la maji Kata…

  • October 24, 2017

Tatizo la ukosefu wa maji katika kata ya NDEVELWA katika manispaa ya TABORA limetatuliwa kwenye kijiji cha ITULU na vitongoji vyake huku juhudi za kutatua tatizo hilo zikiendelea katika vijiji vingine viwili.

Diwani wa kata ya NDEVELWA,SELEMAN MAGANGA amesema kwa miaka mingi kata hiyo imekuwa ikikabiliwa na tatizo la ukosefu wa maji,lakini kwa sasa wamepatikana wahisani ambao wanaendelea na zoezi la uchimbaji wa visima.

Amesema mhisani huyo ambaye ni Mchungaji TIMOTHY kutoka nchini MAREKANI amepeleka katani NDEVELWA wataalamu kutoka mkoani MOROGORO ambao kwa sasa wanaendelea na kutafuta maeneo yenye maji katika kata hiyo ili wachimbe visima.

Share this:

  • Click to share on Twitter (Opens in new window)
  • Click to share on Facebook (Opens in new window)
  • Click to share on Google+ (Opens in new window)

Related

Xi Jinping: Kiongozi mwenye nguvu zaidi nchini China tangu kipindi cha Mao Zedong’.
Jeshi la polisi mkoani TABORA limewahimiza wananchi kutoa taarifa za vitendo vya uhalifu kabla madhara kutokea katika maeneo yao.

Related articles

Msanii Sam wa Ukweli ameaga…
Mazishi ya pacha Maria na…
Vladmir Putin aizuru Austria.
Jeshi la Zimamoto lakanusha madai…
TABORA: Biashara ya Magimbi yashamiri…
Serikali imetenga fedha kwa ajili…

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

On Air Now

Download CG Google App here

CLICK TO PLAY CG ONLINE TV

Advertise here

ABOUT US

CG FM RADIO is the radio station that based in Tabora – Tanzania that targets all age groups. Due to its moral observation and ethical programs, CG FM radio continues to have a lot of audience which makes us the best on western zone.

YOU ARE HOME

TWITTER

My Tweets

Menu

  • HOME
  • News
  • Listen Live
  • Advertise