Skip to content
CGFM
  • Home
  • Listen Live
  • News
  • Presenters
  • Gallery
  • Advertise

TABORA: Wauzaji wa dawa na wamiliki wa maduka ya…

  • October 20, 2017

Wauzaji wa dawa na wamiliki wa maduka ya dawa muhimu Mkoani TABORA wametakiwa kuzingatia sheria na taratibu za kuuza dawa ili kuepukana na adhabu zisizo za lazima.

Akizungumza katika kumbi za mikutano za GEORGE’S na MUSOMA UTALII, Mratibu wa mafunzo ya watoa dawa na wamiliki wa maduka ya dawa muhimu Mfamasia wa Manispaa ya TABORA MAGANGA KASOGA amesema wametoa mafunzo hayo kwa lengo la kuwezesha sheria kufuatwa ipasavyo

Baadhi ya washiriki wa mafunzo wamesema mafunzo hayo yamewajenga na wanatarajia kubadilika katika shughuli zao.

Share this:

  • Click to share on Twitter (Opens in new window)
  • Click to share on Facebook (Opens in new window)
  • Click to share on Google+ (Opens in new window)

Related

Jeshi la polisi Mkoani TABORA limewakamata wahamiaji haramu 21 kutoka Jamhuri ya kidemokrasia ya KONGO
Waziri mkuu wa Japan Shinzo Abe ameahidi kukabiliana na Korea Kaskazini

Related articles

Msanii Sam wa Ukweli ameaga…
Mazishi ya pacha Maria na…
Vladmir Putin aizuru Austria.
Jeshi la Zimamoto lakanusha madai…
TABORA: Biashara ya Magimbi yashamiri…
Serikali imetenga fedha kwa ajili…

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

On Air Now

Download CG Google App here

CLICK TO PLAY CG ONLINE TV

Advertise here

ABOUT US

CG FM RADIO is the radio station that based in Tabora – Tanzania that targets all age groups. Due to its moral observation and ethical programs, CG FM radio continues to have a lot of audience which makes us the best on western zone.

YOU ARE HOME

TWITTER

My Tweets

Menu

  • HOME
  • News
  • Listen Live
  • Advertise