Skip to content
CGFM
  • Home
  • Listen Live
  • News
  • Presenters
  • Gallery
  • Advertise
Local

TABORA: Zao la Mpunga Lashuka Bei.

  • May 1, 2018May 1, 2018

Zao la mpunga limeanza kuvunwa katika kijiji cha ULYANKULU na kuuzwa mjini Tabora kwa bei nafuu tofauti na ilivokua awali.

Akizungumza na CG FM,mmoja wa wafanyakazi SAID HAMIS kutoka kampuni ya SIZYA MILLS inayojihusisha na uuzaji wa mpunga,kukoboa na kuuweka katika madaraja mpunga mjini TABORA amesema sasa ni kipindi cha mavuno ya mpunga na bei ya mchele imeshuka.

Bei ya mpunga wa kwa sasa ni shilling elfu nane kwa debe moja wakati awali bei ilikuwa shillingI elfu kumi na nane kwa debe.

Share this:

  • Click to share on Twitter (Opens in new window)
  • Click to share on Facebook (Opens in new window)
  • Click to share on Google+ (Opens in new window)

Related

TABORA: Shule za makanisa zimetakiwa kuacha kukaririsha wanafunzi.
TABORA: Mbio za Mwenge wa Uhuru wazindua miradi sita.

Related articles

Msanii Sam wa Ukweli ameaga…
Mazishi ya pacha Maria na…
Vladmir Putin aizuru Austria.
Jeshi la Zimamoto lakanusha madai…
TABORA: Biashara ya Magimbi yashamiri…
Serikali imetenga fedha kwa ajili…

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

On Air Now

Download CG Google App here

CLICK TO PLAY CG ONLINE TV

Advertise here

ABOUT US

CG FM RADIO is the radio station that based in Tabora – Tanzania that targets all age groups. Due to its moral observation and ethical programs, CG FM radio continues to have a lot of audience which makes us the best on western zone.

YOU ARE HOME

TWITTER

My Tweets

Menu

  • HOME
  • News
  • Listen Live
  • Advertise