Skip to content
CGFM
  • Home
  • Listen Live
  • News
  • Presenters
  • Gallery
  • Advertise
Local

Tanzania yaongoza kwenye ripoti ya nchi za kuwekeza Afrika

  • April 30, 2018

Tanzania inaendelea kufanya vizuri kisera katika sekta ya viwanda na uwekezaji Afrika baada ya ripoti ya r&b investment index kuonyesha Tanzania imepanda nafasi mbili katika nchi zinazovutia kwa uwekezaji Afrika.

Amesema hayo Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Uwekezaji wa Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Aristide Mbwasi wakati wa uzinduzi wa kiwanda kutengeneza mita za Umeme, Baobao Energy Systems Tanzania (BEST) kilichopo eneo la mbezi juu Dar es salaam.

Share this:

  • Click to share on Twitter (Opens in new window)
  • Click to share on Facebook (Opens in new window)
  • Click to share on Google+ (Opens in new window)

Related

Uingereza, Ufaransa, na Ujerumani waunga mkono makubaliano ya Nyuklia Iran.
Korea Kaskazin na Kusini zafanya mkutano wa kihistoria

Related articles

Msanii Sam wa Ukweli ameaga…
Mazishi ya pacha Maria na…
Vladmir Putin aizuru Austria.
Jeshi la Zimamoto lakanusha madai…
TABORA: Biashara ya Magimbi yashamiri…
Serikali imetenga fedha kwa ajili…

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

On Air Now

Download CG Google App here

CLICK TO PLAY CG ONLINE TV

Advertise here

ABOUT US

CG FM RADIO is the radio station that based in Tabora – Tanzania that targets all age groups. Due to its moral observation and ethical programs, CG FM radio continues to have a lot of audience which makes us the best on western zone.

YOU ARE HOME

TWITTER

My Tweets

Menu

  • HOME
  • News
  • Listen Live
  • Advertise