Skip to content
CGFM
  • Home
  • Listen Live
  • News
  • Presenters
  • Gallery
  • Advertise

Vijana mjini TABORA wametakiwa kuachana na utamaduni wa kuvaa…

  • October 11, 2017
Miwani na mkebe wake.

Vijana mjini TABORA wametakiwa kuachana na utamaduni wa kuvaa miwani bila ushauri wa kitaalam kwa sababu kufanya hivyo ni kuathiri afya ya macho.

Kauli hiyo imetolewa na Mganga Mfawidhi wa zahanati ya Kanisa la MORAVIANI MILUMBANI,Daktari LAMECK KISULILA akisema vijana wengi wanapenda kuvaa miwani ya urembo lakini wanapaswa kuwa waangalifu na ubora wa miwani hiyo.

Amesema kwamba watu ambao wanatumia miwani iliyothibitishwa na daktari katika shughuli zao hiyo ni moja ya tiba na siyo kwamba dawa ya kuwatibu imekosekana.

Share this:

  • Click to share on Twitter (Opens in new window)
  • Click to share on Facebook (Opens in new window)
  • Click to share on Google+ (Opens in new window)

Related

Serikali ya wilaya ya SIKONGE kuanza ujenzi wa Madarasa ya kidato cha Tano na Sita.
Panama yatangaza siku ya kitaifa baada ya kufuzu kwa Kombe la Dunia.

Related articles

Msanii Sam wa Ukweli ameaga…
Mazishi ya pacha Maria na…
Vladmir Putin aizuru Austria.
Jeshi la Zimamoto lakanusha madai…
TABORA: Biashara ya Magimbi yashamiri…
Serikali imetenga fedha kwa ajili…

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

On Air Now

Download CG Google App here

CLICK TO PLAY CG ONLINE TV

Advertise here

ABOUT US

CG FM RADIO is the radio station that based in Tabora – Tanzania that targets all age groups. Due to its moral observation and ethical programs, CG FM radio continues to have a lot of audience which makes us the best on western zone.

YOU ARE HOME

TWITTER

My Tweets

Menu

  • HOME
  • News
  • Listen Live
  • Advertise