Skip to content
CGFM
  • Home
  • Listen Live
  • News
  • Presenters
  • Gallery
  • Advertise
Local

Wakimbia Kijiji baada kushindwa kutoa ufafanuzi wa michango ya…

  • January 19, 2018

Afisa Mtendaji na Mwenyekiti wa serikali ya kijiji cha KONGO katika kata ya UPUGE,wilaya ya UYUI mkoani TABORA  wamekimbia kijijini hapo baada ya kushindwa kutoa ufafanuzi wa michango ya fedha zilizochangwa na wananchi kwa ajili ya ujenzi wa shule ya msingi.

Akizungumza katika mkutano wa hadhara kijijini KONGO,Diwani wa kata ya UPUGE,MUSSA SAFARI amesema kuwa walikubaliana na wanakijiji kukutana ili kuweza kupata ufafanuzi wa mahali zilipo fedha za michango ya shule na fedha za uuzaji wa miti aina ya Mikaratusi.

Nao wananchi wamesema kuwa ni vyema viongozi wa kata ya UPUGE na viongozi wa Chama cha Mapinduzi wawatafute viongozi waliotoroka na kuhakikisha fedha zao za michango yao zinapatikana.

Share this:

  • Click to share on Twitter (Opens in new window)
  • Click to share on Facebook (Opens in new window)
  • Click to share on Google+ (Opens in new window)

Related

Lupita Nyong’o kuchapisha kitabu cha watoto.
Hospitali ya Rufaa ya mkoa wa TABORA- KITETE yafungua Duka la dawa.

Related articles

Msanii Sam wa Ukweli ameaga…
Mazishi ya pacha Maria na…
Vladmir Putin aizuru Austria.
Jeshi la Zimamoto lakanusha madai…
TABORA: Biashara ya Magimbi yashamiri…
Serikali imetenga fedha kwa ajili…

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

On Air Now

Download CG Google App here

CLICK TO PLAY CG ONLINE TV

Advertise here

ABOUT US

CG FM RADIO is the radio station that based in Tabora – Tanzania that targets all age groups. Due to its moral observation and ethical programs, CG FM radio continues to have a lot of audience which makes us the best on western zone.

YOU ARE HOME

TWITTER

My Tweets

Menu

  • HOME
  • News
  • Listen Live
  • Advertise