Skip to content
CGFM
  • Home
  • Listen Live
  • News
  • Presenters
  • Gallery
  • Advertise

Wananchi mkoani TABORA wameshauriwa kuchunguza afya zao mara kwa…

  • October 17, 2017
Ini.

Wananchi mkoani TABORA wameshauriwa kuchunguza afya zao mara kwa mara ili kukabiliana na ugonjwa wa Homa ya Ini. 

Ushauri huo umetolewa na Daktari NOVATUS NGOLOMA kutoka Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa TABORA- KITETE wakati akizungumzia athari zinazotokana na ugonjwa wa homa ya ini.

Daktari NGOLOMA pia amesema jamii inapaswa kuzingatia kanuni bora za usafi, kuepuka ngono zisizo salama na kutumia vema elimu ya afya kwa vijana ili kukabiliana na maradhi hayo.

Shirika la Afya Duniani- WHO limethibitisha kuwa ugonjwa wa homa ya ini ni tishio zaidi hasa katika nchi za Kusini mwa Jangwa la Sahara na hapa Daktari NGOLOMA anathibitisha kuwa TANZANIA ni miongoni mwa nchi waathirika.

Mapema mwezi Agosti mwaka huu,Mkurugenzi Mtendaji ofisi ya Umoja wa Mataifa inayohusika na udhibiti wa uhalifu na dawa za kulevya, YURY FEDOTOV alisema kuwa ugonjwa wa homa ya ini,Hepatitis C umekumba watu milioni 12 wanaojidunga sindano za dawa za kulevya na kwamba homa hiyo ni chanzo cha vifo kuliko virusi vya Ukimwi duniani.

Share this:

  • Click to share on Twitter (Opens in new window)
  • Click to share on Facebook (Opens in new window)
  • Click to share on Google+ (Opens in new window)

Related

Vijana mkoani TABORA wametakiwa kuacha tabia ya kukaa vijiweni na badala yake watumie muda huo kufanya shughuli za maendeleo.
Uchaguzi 2017: Kamishna wa tume ya uchaguzi Kenya Roselyn Akombe IEBC ajiuzulu

Related articles

Msanii Sam wa Ukweli ameaga…
Mazishi ya pacha Maria na…
Vladmir Putin aizuru Austria.
Jeshi la Zimamoto lakanusha madai…
TABORA: Biashara ya Magimbi yashamiri…
Serikali imetenga fedha kwa ajili…

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

On Air Now

Download CG Google App here

CLICK TO PLAY CG ONLINE TV

Advertise here

ABOUT US

CG FM RADIO is the radio station that based in Tabora – Tanzania that targets all age groups. Due to its moral observation and ethical programs, CG FM radio continues to have a lot of audience which makes us the best on western zone.

YOU ARE HOME

TWITTER

My Tweets

Menu

  • HOME
  • News
  • Listen Live
  • Advertise