Skip to content
CGFM
  • Home
  • Listen Live
  • News
  • Presenters
  • Gallery
  • Advertise

Wanandoa mkoani TABORA wametakiwa kuheshimu ndoa zao na kuepuka…

  • October 10, 2017
Migogoro iliyopo katika ndoa inatokana na kukosa hofu ya Mungu.

Wanandoa mkoani TABORA wametakiwa kuheshimu ndoa zao na kuepuka migogoro kwa kufuata kanuni na taratibu za sheria za dini.

Wakizungumza na CG FM,baadhi ya viongozi wa dini,Mchungaji EMMANUEL CHEREHANI wa kanisa la Moravian IPULI pamoja na mjumbe wa Baraza Kuu la Waislamu TANZANIA-BAKWATA,Shekhe RAJABU RASHIDI wamesema migogoro iliyopo katika ndoa inatokana na kukosa hofu ya Mungu.

Pete

Kwa upande wake Nabii wa kanisa la BETHEL,Nabii JACKSON MASATO amesema ndoa ni agano kutoka kwa Mungu na  kwamba wanandoa wanatakiwa kuwa kupatana,kuaminiana na kujishusha.

Share this:

  • Click to share on Twitter (Opens in new window)
  • Click to share on Facebook (Opens in new window)
  • Click to share on Google+ (Opens in new window)

Related

Ivana Trump: Melania ajibizana na mke wa zamani wa Trump.
Vyandarua 28,200 vimetolewa kwa wanafunzi wa shule za msingi 79 katika Halmashauri ya Manispaa ya TABORA

Related articles

Msanii Sam wa Ukweli ameaga…
Mazishi ya pacha Maria na…
Vladmir Putin aizuru Austria.
Jeshi la Zimamoto lakanusha madai…
TABORA: Biashara ya Magimbi yashamiri…
Serikali imetenga fedha kwa ajili…

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

On Air Now

Download CG Google App here

CLICK TO PLAY CG ONLINE TV

Advertise here

ABOUT US

CG FM RADIO is the radio station that based in Tabora – Tanzania that targets all age groups. Due to its moral observation and ethical programs, CG FM radio continues to have a lot of audience which makes us the best on western zone.

YOU ARE HOME

TWITTER

My Tweets

Menu

  • HOME
  • News
  • Listen Live
  • Advertise