Skip to content
CGFM
  • Home
  • Listen Live
  • News
  • Presenters
  • Gallery
  • Advertise

Wazazi na walezi mkoani TABORA wameaswa kufuatilia mienendo ya…

  • October 18, 2017
Suala la wazazi na walezi kuzingatia mienendo ya wanafunzi wao ni muhimu ili kuondoa utoro wa kudumu.

Wazazi na walezi mkoani TABORA wameaswa kufuatilia mienendo ya watoto wao ili kufahamu kama wanapotoka nyumbani wanakwenda shuleni na maendeleo yao kimasomo.

Kauli hiyo imetolewa na Diwani kata ya GONGONI,KESSY ABDULRAHMAN katika mahafali ya kidato cha nne ya shule ya sekondari ya ALI HASSAN MWINYI.

Amesema suala la wazazi na walezi kuzingatia mienendo ya wanafunzi wao ni muhimu ili kuondoa utoro wa kudumu.

Diwani KESSY amewaomba wazazi kushirikiana na walimu ili kupata taarifa ya mtoto pindi awapo shuleni huku akiwaasa wanafunzi wa kidato kwanza  mpaka cha tatu kuwa na nidham darasani pamoja na kuzingatia masomo.

Share this:

  • Click to share on Twitter (Opens in new window)
  • Click to share on Facebook (Opens in new window)
  • Click to share on Google+ (Opens in new window)

Related

Zaidi ya watoto 2,400 wamebainika wanaishi kwenye mazingira hatarishi katika wilaya ya UYUI mkoani TABORA.
PINK: MARY J BLIGE ALIKATAA KUFANYA NAMI COLLABO!

Related articles

Msanii Sam wa Ukweli ameaga…
Mazishi ya pacha Maria na…
Vladmir Putin aizuru Austria.
Jeshi la Zimamoto lakanusha madai…
TABORA: Biashara ya Magimbi yashamiri…
Serikali imetenga fedha kwa ajili…

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

On Air Now

Download CG Google App here

CLICK TO PLAY CG ONLINE TV

Advertise here

ABOUT US

CG FM RADIO is the radio station that based in Tabora – Tanzania that targets all age groups. Due to its moral observation and ethical programs, CG FM radio continues to have a lot of audience which makes us the best on western zone.

YOU ARE HOME

TWITTER

My Tweets

Menu

  • HOME
  • News
  • Listen Live
  • Advertise