Skip to content
CGFM
  • Home
  • Listen Live
  • News
  • Presenters
  • Gallery
  • Advertise

Klabu ya soka ya RHINO RANGERS ya mkoani TABORA…

  • September 22, 2017September 22, 2017
Wachezaji wa Rhino Rangers FC wakifanya mazoezi katika uwanja wa Mwinyi.

Klabu ya soka ya RHINO RANGERS ya mkoani TABORA inashuka dimbani kesho kucheza na TRANSIT ya SHINYANGA katika mwendelezo wa ligi daraja la kwanza TANZANIA.

RHINO wanaingia katika mchezo wa kesho wakiwa na kumbukumbu ya kupoteza mchezo wa kwanza dhidi ya ALLIANCE ya MWANZA ambapo walipoteza bao moja kwa bila huku TRANSIT wenyewe  walipata alama moja baadq ya kutoka sare na JKT OLJORO ya mkoani ARUSHA.

Mchezo huo utaanza saa kumi na nusu jioni katika uwanja wa mwinyi na utatangazwa moja kwa moja na kituo hiki.

 

Share this:

  • Click to share on Twitter (Opens in new window)
  • Click to share on Facebook (Opens in new window)
  • Click to share on Google+ (Opens in new window)

Related

Mlinzi wa klabu ya LIVERPOOL ya nchini UINGEREZA JOEL MATIP Amesifu uwezo wa Kocha mkuu wa kikosi cha JURGEN KLOPP.
Mkuu wa mkoa wa TABORA bwana AGGREY MWANRI ametaka watumishi wote walioshindwa kutekeleza mradi wa miombo wa ujenzi wa mabanda ya kuku na majiko sanifu katika wilaya ya UYUI wachukuliwe hatua.

Related articles

Msanii Sam wa Ukweli ameaga…
Mazishi ya pacha Maria na…
Vladmir Putin aizuru Austria.
Jeshi la Zimamoto lakanusha madai…
TABORA: Biashara ya Magimbi yashamiri…
Serikali imetenga fedha kwa ajili…

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

On Air Now

Download CG Google App here

CLICK TO PLAY CG ONLINE TV

Advertise here

ABOUT US

CG FM RADIO is the radio station that based in Tabora – Tanzania that targets all age groups. Due to its moral observation and ethical programs, CG FM radio continues to have a lot of audience which makes us the best on western zone.

YOU ARE HOME

TWITTER

My Tweets

Menu

  • HOME
  • News
  • Listen Live
  • Advertise