Skip to content
CGFM
  • Home
  • Listen Live
  • News
  • Presenters
  • Gallery
  • Advertise
Sports

TABORA: MILAMBO FC na JKT MSANGE Uso kwa Uso…

  • February 1, 2018February 1, 2018

Timu za MILAMBO FC na JKT MSANGE zote za TABORA zitakuwa katika wakati mgumu keshokutwa wakati zitakapokutana katika mchezo wa mwisho wa Ligi Daraja la Pili TANZANIA BARA.

Mchezo huo utachezwa katika uwanja wa ALI HASSAN MWINYI na  utakuwa ni wa mwisho huku JKT MSANGE ikiwa na alama  11 wakati MILAMBO ina alama kumi na zote zina nafasi ya kupanda ligi daraja la kwanza.

MILAMBO au JKT MSANGE mojawapo ikishinda mchezo huo itapaswa kuomba klabu ya MASHUJAA ya KIGOMA ipoteze mchezo wake dhidi ya AREA C ya DODOMA watakapokutana.

AREA C ina alama 15,MASHUJAA alama 12,JKT MSANGE alama 11 na MILAMBO alama 10.

Baada ya kuitoa klabu ya MAJIMAJI RANGERS ya LINDI katika mashindano ya Kombe la Shirikisho,klabu ya MTIBWA SUGAR ya MOROGORO itasafiri kuelekea Kanda ya Ziwa kwa ajili ya mechi zake tatu za Ligi Kuu ya VODACOM TANZANIA BARA.

 

Msemaji wa kikosi cha MTIBWA,TOBIAS KIFARU amesema baada ya kumaliza mechi hizo watarejea mjini MOROGORO.

MTIBWA SUGAR inashika nafasi ya tano katika msimamo wa Ligi Kuu kwa alama zao 26

Share this:

  • Click to share on Twitter (Opens in new window)
  • Click to share on Facebook (Opens in new window)
  • Click to share on Google+ (Opens in new window)

Related

KILIMANJARO: ROMBO Viongozi watakiwa kuhamasisha wananchi kuongeza jitihada katika kilimo cha zao la kahawa.
Jumapili hii ni NIGERIA vs MOROCCO katika michuano ya AFRIKA-CHAN

Related articles

Simba Yamsajili Adam Salamba.
Roman Abrahamovich ahamia Israel.
Kipa wa Liverpool atishiwa maisha.
Haji Manara, Simba na Yanga…
Serengeti Boys wa Tanzania watwaa…
Wachezaji wanajua umuhimu wa mechi…

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

On Air Now

Download CG Google App here

CLICK TO PLAY CG ONLINE TV

Advertise here

ABOUT US

CG FM RADIO is the radio station that based in Tabora – Tanzania that targets all age groups. Due to its moral observation and ethical programs, CG FM radio continues to have a lot of audience which makes us the best on western zone.

YOU ARE HOME

TWITTER

My Tweets

Menu

  • HOME
  • News
  • Listen Live
  • Advertise