Skip to content
CGFM
  • Home
  • Listen Live
  • News
  • Presenters
  • Gallery
  • Advertise
International

7 wauawa katika mapambano na Polisi Ethiopia

  • January 22, 2018

Watu saba wamekufa huko Ethiopia kaskazini baada ya vikosi vya usalama kufyatua risasi kwenye mkusanyiko wa watu waliohudhuria tamasha la kidini siku ya jumamosi.

Vifo hivyo katika mji wa Waldiya vimesababisha maandamano ya siku mbili yaliyosababisha uharibu wa nyumba, magari na barabara kufungwa .

Mashuhuda wanasema shida ilianza siku ya jumamosi pale waumini hao walipoanza kuimba nyimbo za kuipinga serikali na ndipo vikosi vya serikali vilianza kuwafyatulia risasi na kusababisha majeraha na vifo.

Waandamanaji wenye hasira walianza kuchoma magari,nyumba na biashara za wale wanaodhaniwa kuunga mkono serikali.Waandamanaji kadhaa wanashikiliwa na Polisi.

Share this:

  • Click to share on Twitter (Opens in new window)
  • Click to share on Facebook (Opens in new window)
  • Click to share on Google+ (Opens in new window)

Related

George Weah kuapishwa leo kuwa rais wa Liberia
Wanawake kuandamana kuhusu madai ya ubakaji katika hospitali Kenya.

Related articles

Mabaki ya ndege iliotoweka na…
Refa Mkenya aliyeteuliwa na Fifa…
Rais Madagascar ateuwa waziri mkuu…
Bodi ya usimamizi wa shule…
Mchungaji auawa akiwabatiza waumini Ziwani
Volkano yasabisha vifo vya watu…

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

On Air Now

Download CG Google App here

CLICK TO PLAY CG ONLINE TV

Advertise here

ABOUT US

CG FM RADIO is the radio station that based in Tabora – Tanzania that targets all age groups. Due to its moral observation and ethical programs, CG FM radio continues to have a lot of audience which makes us the best on western zone.

YOU ARE HOME

TWITTER

My Tweets

Menu

  • HOME
  • News
  • Listen Live
  • Advertise