Skip to content
CGFM
  • Home
  • Listen Live
  • News
  • Presenters
  • Gallery
  • Advertise

Anthony Joshua kuvaana na Carlos Takam Oktoba 28

  • October 17, 2017
Anthony Joshua

Bondia Anthony Joshua anatarajiwa kutetea mataji yake ya IBF na WBA atakapovaana na Carlos Takam baada ya Kubrat Pulev kujitoa kufuatia majeraha.

Pambano hilo linalotarajiwa kuwa kali na la kuvutia litapigwa Oktoba 28 katika dimba la Cardiff ambapo mpaka sasa tiyari tiketi 70,000 zimeshauzwa.

Litakuwa pambano la kwanza la Joshua tokea alipomtwanga Wladimir Klitschko katika dimba la Wembley April.

Carlos Takam

Pulev alipata majereha ya bega wakati akijiandaa na mchezo huo.

Takam mzaliwa wa Cameroon na anayeishi nchini Ufaransa ana miaka 36 na anatarajiwa kutoa upinzani mkali kwa Joshua.

Share this:

  • Click to share on Twitter (Opens in new window)
  • Click to share on Facebook (Opens in new window)
  • Click to share on Google+ (Opens in new window)

Related

Banky W asema Kiss Daniel ni Msanii wake mkali wa muda wote.
Leicester City 1-1 West Bromwich

Related articles

Mashabiki wa klabu ya YANGA…
Lagos, NIGERIA: Yemi Alade na…
STEPH CURRY aiongoza Golden State…
ShiiKANE Diamond alistahili tuzo
The Story of Adisson yaharibu…
Simba Yamsajili Adam Salamba.

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

On Air Now

Download CG Google App here

CLICK TO PLAY CG ONLINE TV

Advertise here

ABOUT US

CG FM RADIO is the radio station that based in Tabora – Tanzania that targets all age groups. Due to its moral observation and ethical programs, CG FM radio continues to have a lot of audience which makes us the best on western zone.

YOU ARE HOME

TWITTER

My Tweets

Menu

  • HOME
  • News
  • Listen Live
  • Advertise