Skip to content
CGFM
  • Home
  • Listen Live
  • News
  • Presenters
  • Gallery
  • Advertise
Local

Bilioni 622 na Milioni 733 zatumika kunusuru kaya maskini

  • April 17, 2018

Zaidi ya  shilingi Bilioni 622 na Milioni 733 zimetumika kunusuru zaidi ya kaya maskini milioni moja hapa nchini kati ya mwaka 2013 na Februari mwaka huu.

Meneja wa Mpango wa Kuweka Akiba na Kukuza Uchumi wa Kaya Maskini kutoka Mfuko wa Maendeleo ya Jamii nchini –TASAF-,TATU MWARUKA amesema miongoni mwa fedha hizo zimetumika kwa ajili ya usimamizi katika ngazi mbalimbali za halmashauri na mkoa.

Mpango wa TASAF wa kunusuru kaya maskini unahakikisha watoto wenye umri wa kwenda shule wanakwenda sambamba na watoto wenye umri chini ya miaka mitano wanapelekwa kliniki.

Mfuko wa Maendeleo ya Jamii nchini- TASAF inatekeleza sehemu ya nne ya mpango wa kunusuru kaya maskini katika wilaya ya UYUI lengo likiwa ni kuwawezesha walengwa kujua taratibu za kujiwekea akiba kimaendeleo.

Kwa upande wake Mwezeshaji wa TASAF wilaya ya UYUI,BAINAS KAMBIMBAYA amesema kazi iliyopo kwa sasa ni kuendelea kuhamasisha walengwa ili kuunda vikundi na kuimarisha uchumi wa kaya zao.

Walengwa wa mpango wa TASAF wa kunusuru kaya maskini wanesisitizwa kuzitumia kwa usahihi fedha wanazopata ili kuondokana na  umaskini.

Share this:

  • Click to share on Twitter (Opens in new window)
  • Click to share on Facebook (Opens in new window)
  • Click to share on Google+ (Opens in new window)

Related

Diamond ahojiwa na Polisi kuhusu picha za mitandaoni
Majaji 250 ‘feki’ wafutwa kazi DRC

Related articles

Msanii Sam wa Ukweli ameaga…
Mazishi ya pacha Maria na…
Vladmir Putin aizuru Austria.
Jeshi la Zimamoto lakanusha madai…
TABORA: Biashara ya Magimbi yashamiri…
Serikali imetenga fedha kwa ajili…

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

On Air Now

Download CG Google App here

CLICK TO PLAY CG ONLINE TV

Advertise here

ABOUT US

CG FM RADIO is the radio station that based in Tabora – Tanzania that targets all age groups. Due to its moral observation and ethical programs, CG FM radio continues to have a lot of audience which makes us the best on western zone.

YOU ARE HOME

TWITTER

My Tweets

Menu

  • HOME
  • News
  • Listen Live
  • Advertise