Skip to content
CGFM
  • Home
  • Listen Live
  • News
  • Presenters
  • Gallery
  • Advertise

Chemchem, TABORA: Dimbwi la maji barabarani lahatarisha maisha ya…

  • October 19, 2017
Dimbwi

Wakazi wa mtaa wa KALAMATA katika kata ya CHEMCHEM,halmashauri ya Manispaa ya TABORA wamelalamikia kuwepo kwa dimbwi lililojaa maji katika barabara ya SABASABA inayokarabatiwa katika mtaa huo hali inayohatarisha usalama wa wakazi hao hasa watoto.

Baadhi ya wakazi hao BERNAD ALBANO na JUSTINE JULIUS wamesema dimbwi hilo limekuwa kero kwao na mpaka sasa watu watano wametumbukia katika dimbwi hilo.

CG FM imemtafuta mwenyekiti wa serikali ya mtaa wa KALAMATA,Mufti HAMIDU RASHID ambaye amekiri dimbwi hilo kuwa ni kero kwa wakazi hao.

 

Share this:

  • Click to share on Twitter (Opens in new window)
  • Click to share on Facebook (Opens in new window)
  • Click to share on Google+ (Opens in new window)

Related

Picha ya faru aliyeuawa yashinda tuzo ya picha bora
Manispaa ya TABORA imesema njia mbadala itakayotumika kuweka mazingira safi ni kufuata sheria ndogo ndogo za halmashauri hiyo.

Related articles

Msanii Sam wa Ukweli ameaga…
Mazishi ya pacha Maria na…
Vladmir Putin aizuru Austria.
Jeshi la Zimamoto lakanusha madai…
TABORA: Biashara ya Magimbi yashamiri…
Serikali imetenga fedha kwa ajili…

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

On Air Now

Download CG Google App here

CLICK TO PLAY CG ONLINE TV

Advertise here

ABOUT US

CG FM RADIO is the radio station that based in Tabora – Tanzania that targets all age groups. Due to its moral observation and ethical programs, CG FM radio continues to have a lot of audience which makes us the best on western zone.

YOU ARE HOME

TWITTER

My Tweets

Menu

  • HOME
  • News
  • Listen Live
  • Advertise