Skip to content
CGFM
  • Home
  • Listen Live
  • News
  • Presenters
  • Gallery
  • Advertise
Sports

Daniel Sturridge atimka Liverpool

  • January 30, 2018

Mshambuliaji wa klabu ya soka ya Liverpool, Daniel Sturridge amejiunga kwa mkopo na timu ya West Brom mpaka mwisho wa msimu huu.

Sturridge amejiunga na timu hiyo baada ya kuonekana kukosa namba katika kikosi cha Liverpool tangu alipowasili kocha Jürgen Klopp mwaka 2015.

Baada ya kufanikiwa kukamilisha uhamisho wake huo wa mkopo na kukabidhiwa jezi yake yenye namba 15 ambayo amezoea kuivaa, mchezaji huyo amesema, “Nilifahamu hii itakuwa klabu sahihi kwangu. Nina marafiki hapa nilicheza nao kabla, meneja alizungumza vizuri na kuna changamoto ya timu na mtindo wa kucheza.”

Awali mchezaji huyo alikuwa anawaniwa na timu kadhaa ikiwemo Newcastle United.

Share this:

  • Click to share on Twitter (Opens in new window)
  • Click to share on Facebook (Opens in new window)
  • Click to share on Google+ (Opens in new window)

Related

Marekani yapunguza makali kwa Wakimbizi
Bodi ya Filamu yamaliza yamaliza tofauti kati ya mtayarishaji wa filamu ya ‘Utu Wangu’ na kampuni ya Steps Ent

Related articles

Simba Yamsajili Adam Salamba.
Roman Abrahamovich ahamia Israel.
Kipa wa Liverpool atishiwa maisha.
Haji Manara, Simba na Yanga…
Serengeti Boys wa Tanzania watwaa…
Wachezaji wanajua umuhimu wa mechi…

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

On Air Now

Download CG Google App here

CLICK TO PLAY CG ONLINE TV

Advertise here

ABOUT US

CG FM RADIO is the radio station that based in Tabora – Tanzania that targets all age groups. Due to its moral observation and ethical programs, CG FM radio continues to have a lot of audience which makes us the best on western zone.

YOU ARE HOME

TWITTER

My Tweets

Menu

  • HOME
  • News
  • Listen Live
  • Advertise