Skip to content
CGFM
  • Home
  • Listen Live
  • News
  • Presenters
  • Gallery
  • Advertise

Fedha za ruzuku zinazotolewa na serikali kwa shule za…

  • October 6, 2017
Rafiki wa Mtandao wa Elimu TABORA,YAHYA HEMED amesema pamoja na shule nyingi kutumia fedha za ruzuku vizuri kwa mwaka wa fedha wa 2016-2017 lakini wakuu wa shule hawakuzingatia mwongozo ulio katika mtaala akitoa mfano kwa shule za msingi.

Wakuu wa shule za msingi na sekondari wametakiwa kutumia fedha za ruzuku za wanafunzi zinazotolewa na serikali kwa kuzingatia mwongozo wake.

Rafiki wa Mtandao wa Elimu TABORA,YAHYA HEMED amesema pamoja na shule nyingi kutumia fedha za ruzuku vizuri kwa mwaka wa fedha wa 2016-2017 lakini wakuu wa shule hawakuzingatia mwongozo ulio katika mtaala akitoa mfano kwa shule za msingi.

Mwenyekiti wa Mtandao wa Marafiki wa Elimu TABORA,EMANUELI MWAKALINGA amesema katika utafiti uliofanyika katika shule wamegundua uelewa na uwazi ni mdogo kwa wahusika.

Mbunge wa jimbo la TABORA mjini,Mheshimiwa EMMANUEL MWAKASAKA amewataka walimu wakuu na wadau wa elimu kuzingatia takwimu katika matumizi ya fedha za ruzuku ili kuleta maendeleo katika sekta ya elimu.

Baadhi ya walimu walihudhuria kikao hicho wamesema mpango huo ni mzuri lakini una changamoto zake.

Share this:

  • Click to share on Twitter (Opens in new window)
  • Click to share on Facebook (Opens in new window)
  • Click to share on Google+ (Opens in new window)

Related

Diamond Platnumz atoa povu kwa wanaofuatilia maisha yake ya mahusiano.
Rais Magufuli alifanyia mabadiliko baraza lake la mawaziri Tanzania.

Related articles

Msanii Sam wa Ukweli ameaga…
Mazishi ya pacha Maria na…
Vladmir Putin aizuru Austria.
Jeshi la Zimamoto lakanusha madai…
TABORA: Biashara ya Magimbi yashamiri…
Serikali imetenga fedha kwa ajili…

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

On Air Now

Download CG Google App here

CLICK TO PLAY CG ONLINE TV

Advertise here

ABOUT US

CG FM RADIO is the radio station that based in Tabora – Tanzania that targets all age groups. Due to its moral observation and ethical programs, CG FM radio continues to have a lot of audience which makes us the best on western zone.

YOU ARE HOME

TWITTER

My Tweets

Menu

  • HOME
  • News
  • Listen Live
  • Advertise