Skip to content
CGFM
  • Home
  • Listen Live
  • News
  • Presenters
  • Gallery
  • Advertise
Sports

GUARDIOLA awataka wachezaji wa timu hiyo kujifunza kwa Liverpool

  • January 15, 2018

Kocha Mkuu wa klabu ya soka ya MANCHESTER CITY,PEP GUARDIOLA amewataka wachezaji wa timu hiyo kujifunza katika kichapo cha mabao manne kwa matatu waliyofungwa jana usiku na timu ya soka LIVERPOOL katika ligi kuu soka nchini UINGEREZA.

GUARDIOLA amesema kichapo cha jana kinafaa kuwa fundisho kwa wachezaji hao ili kujiimarisha zaidi kuhakikisha wanatwaa ubingwa wa UINGEREZA.

MAN CITY ilikuwa timu pekee ambayo haijapoteza mchezo wowote katika ligi kuu soka nchini UINGEREZA lakini jana wameonja joto la jiwe kwa mara ya kwanza kwa kipigo cha mabao manne kwa matatu.

Share this:

  • Click to share on Twitter (Opens in new window)
  • Click to share on Facebook (Opens in new window)
  • Click to share on Google+ (Opens in new window)

Related

TABORA: SAFINA ARTS GROUP limezindua filamu mpya iitwayo SIAMINI
Waziri Aiagiza kamati ya ulinzi kufanya uchunguzi wa kuchomwa kwa kanisa

Related articles

Simba Yamsajili Adam Salamba.
Roman Abrahamovich ahamia Israel.
Kipa wa Liverpool atishiwa maisha.
Haji Manara, Simba na Yanga…
Serengeti Boys wa Tanzania watwaa…
Wachezaji wanajua umuhimu wa mechi…

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

On Air Now

Download CG Google App here

CLICK TO PLAY CG ONLINE TV

Advertise here

ABOUT US

CG FM RADIO is the radio station that based in Tabora – Tanzania that targets all age groups. Due to its moral observation and ethical programs, CG FM radio continues to have a lot of audience which makes us the best on western zone.

YOU ARE HOME

TWITTER

My Tweets

Menu

  • HOME
  • News
  • Listen Live
  • Advertise