Skip to content
CGFM
  • Home
  • Listen Live
  • News
  • Presenters
  • Gallery
  • Advertise

Hamas na Fatah waingia katika mkataba

  • October 12, 2017
Logo za Hamas na Fatah

Msemaji wa kundi la wapiganaji wa Palestina ,Hamas amesema kuwa kundi hilo limeafikiana na kundi pinzani la Fatah kusitisha mzozo wa muongo mmoja kati yao.

Msemaji huyo amesema kuwa maelezo ya makubaliano hayo yatatangazwa katika mkutano na vyombo vya habari mjini Cairo, ambapo awamu ya pili ya mazungumzo ya upatanishi yanaanza siku ya Jumanne.

Hakujakuwa na ithibati yoyote kutoka kwa Fatah.

Mwezi uliopita Hamas lilisema litafutilia mbali kamati ambayo ilisimamia eneo la Gaza na kutoa udhibiti wake kwa serikali inayoungwa mkono na Fatah katika ukanda wa West Bank.

Hamas lilichukua udhibti wa Gaza baada ya kuliondoa kwa nguvu kundi la wapiganaji wa Fatah 2007.- mwaka baada ya Hamas kushinda uchanguzi wa Palestina.

Share this:

  • Click to share on Twitter (Opens in new window)
  • Click to share on Facebook (Opens in new window)
  • Click to share on Google+ (Opens in new window)

Related

Siri za kijeshi za Australia zaibwa kupitia udukuzi
Jeshi la polisi mkoani TABORA limesema matukio ya mauaji yamepungua kwa asilimia 37.

Related articles

Mabaki ya ndege iliotoweka na…
Refa Mkenya aliyeteuliwa na Fifa…
Rais Madagascar ateuwa waziri mkuu…
Bodi ya usimamizi wa shule…
Mchungaji auawa akiwabatiza waumini Ziwani
Volkano yasabisha vifo vya watu…

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

On Air Now

Download CG Google App here

CLICK TO PLAY CG ONLINE TV

Advertise here

ABOUT US

CG FM RADIO is the radio station that based in Tabora – Tanzania that targets all age groups. Due to its moral observation and ethical programs, CG FM radio continues to have a lot of audience which makes us the best on western zone.

YOU ARE HOME

TWITTER

My Tweets

Menu

  • HOME
  • News
  • Listen Live
  • Advertise