Skip to content
CGFM
  • Home
  • Listen Live
  • News
  • Presenters
  • Gallery
  • Advertise
Local

Jamii mkoani TABORA imeshauriwa kukata kucha mara mbili kwa…

  • March 16, 2018

Jamii mkoani TABORA imeshauriwa kukata kucha mara mbili kwa wiki na kutozikata kwa kutumia mdomo kwa sababu kunasababisha hatari ya kuugua magonjwa ya kuhara.

Daktari wa Hospitali ya rufaa ya mkoa wa TABORA-KITETE kitengo cha afya ya uzazi na kizazi ,Daktari MNUBI BAGUMA amesema mtu akiwa na kucha ndefu hata kama atanawa maji mengi hataweza kumaliza bakteria waliopo ndani ya kucha zake.

Kwa upande wao,baadhi ya wakazi wa Halmashauri ya Manispaa ya TABORA BOSCO JOSEPH,SAID RAMADHAN na JOSEPH DEUS wameomba elimu zaidi iendelee kutolewa ili jamii ielewe madhara yatokanayo na kutonawa mikono kwa ufasaha.

Nao watoa huduma wa afya ngazi ya jamii MARY BALAZI na DAVID KANOLA wamesema wanahakikisha wananawa mikono kabla na baada ya kumhudumia mgonjwa ili kuua vijidudu na kuepusha kuhamisha wadudu kutoka kwa mgonjwa mmoja kwenda kwa mwingine.

Daktari BAGUMA ameitaka jamii kujiepusha na kula hovyo barabarani kwa sababu kufanya hivyo kunaongeza uwezekano mkubwa wa kula uchafu kwa sababu mtu hawezi kujui mazingira yalitumika kuandaa chakula au matunda hayo.

Share this:

  • Click to share on Twitter (Opens in new window)
  • Click to share on Facebook (Opens in new window)
  • Click to share on Google+ (Opens in new window)

Related

TABORA: Wanawake watakiwa kuwanyonyesha watoto wao kwa kipindi cha miezi sita bila chakula cha aina chochote.
TABORA: Wakulima mkoani TABORA wameshauriwa kuacha kilimo cha mazoea.

Related articles

Msanii Sam wa Ukweli ameaga…
Mazishi ya pacha Maria na…
Vladmir Putin aizuru Austria.
Jeshi la Zimamoto lakanusha madai…
TABORA: Biashara ya Magimbi yashamiri…
Serikali imetenga fedha kwa ajili…

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

On Air Now

Download CG Google App here

CLICK TO PLAY CG ONLINE TV

Advertise here

ABOUT US

CG FM RADIO is the radio station that based in Tabora – Tanzania that targets all age groups. Due to its moral observation and ethical programs, CG FM radio continues to have a lot of audience which makes us the best on western zone.

YOU ARE HOME

TWITTER

My Tweets

Menu

  • HOME
  • News
  • Listen Live
  • Advertise