Skip to content
CGFM
  • Home
  • Listen Live
  • News
  • Presenters
  • Gallery
  • Advertise

Jamii mkoani TABORA imetakiwa kujitoa kwa hali na mali…

  • November 7, 2017
Mwanafunzi akiwa darasani

Jamii mkoani TABORA imetakiwa kujitoa kwa hali na mali kushiriki katika kuboresha elimu na mkoa wa TABORA kwa jumla.

Wito huo umetolewa na Afisa Habari na Mawasiliano wa Mpango wa kuboresha elimu TANZANIA- EQUIP,MWANAIDI MSANGI akisema  ushirikiano wa jamii katika elimu ni lazima uwe mkubwa ili kufikia malengo ya kuwa na maendeleo mazuri ya elimu.

Naye Afisa Elimu mkoa wa TABORA,SUZAN NYARUBAMBA amesema mpango wa kuboresha elimu TANZANIA- EQUIP umewapa nafasi walimu wa taaluma,walimu wakuu na walimu wakuu wasaidizi kusimamia kwa weledi maendeleo ya shule.

Share this:

  • Click to share on Twitter (Opens in new window)
  • Click to share on Facebook (Opens in new window)
  • Click to share on Google+ (Opens in new window)

Related

TABORA: Kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili Mwenyekiti wa WETCU GABRIEL MKANDALA na Wenzake Yatajwa mbele ya Hakimu Mkazi Mfawidhi wa wilaya ya TABORA.
SERIKALI yaweka mikakati kuwawezesha wahitimu wa ngazi za Elimu kuweza kujiajiri.

Related articles

Guardiola alinichukulia kama adui na…
TABORA: Ushiriki wa wazazi kusoma…
Milioni 334 zatengwa kwa ajili…
Macron aanza ziara yake nchini…
Mwakyembe aagiza Nandy akamatwe, Diamond…
Arsenal yanusurika kombe la Yuropa,…

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

On Air Now

Download CG Google App here

CLICK TO PLAY CG ONLINE TV

Advertise here

ABOUT US

CG FM RADIO is the radio station that based in Tabora – Tanzania that targets all age groups. Due to its moral observation and ethical programs, CG FM radio continues to have a lot of audience which makes us the best on western zone.

YOU ARE HOME

TWITTER

My Tweets

Menu

  • HOME
  • News
  • Listen Live
  • Advertise