Skip to content
CGFM
  • Home
  • Listen Live
  • News
  • Presenters
  • Gallery
  • Advertise
Local

Jeshi la polisi mkoani Tabora limewapongeza wananchi

  • April 13, 2018

Jeshi la polisi mkoani Tabora limewapongeza wananchi kwa kuendelea kutoa ushirikiano kwa jeshi hilo kukabiliana na uhalifu.

Akizungumza katika kongamano la ulinzi na usalama ukumbi wa ISIKE MWANAKIYUNGI mjini TABORA, kamanda wa polisi mkoa wa Tabora kamishina msaidizi mwandamizi wa polisi WILBROAD MUTAFUNGWA amesema wanapata ushirikiano kutoka kwa wananchi na kuongeza ufanisi katika jeshi hilo.

Kamanda MUTAFUNGWA Pia amesema wanaendelea kushirikiana na viongozi wa dini ili kuwashawishi wananchi kuachana na imani potofu za kishirikina.

Share this:

  • Click to share on Twitter (Opens in new window)
  • Click to share on Facebook (Opens in new window)
  • Click to share on Google+ (Opens in new window)

Related

Serikali yaelezea umuhimu wa Takwimu kwa watu wenye ulemavu.
Arsenal yanusurika kombe la Yuropa, Yaicharaza CSKA Moscow (6-3)

Related articles

Msanii Sam wa Ukweli ameaga…
Mazishi ya pacha Maria na…
Vladmir Putin aizuru Austria.
Jeshi la Zimamoto lakanusha madai…
TABORA: Biashara ya Magimbi yashamiri…
Serikali imetenga fedha kwa ajili…

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

On Air Now

Download CG Google App here

CLICK TO PLAY CG ONLINE TV

Advertise here

ABOUT US

CG FM RADIO is the radio station that based in Tabora – Tanzania that targets all age groups. Due to its moral observation and ethical programs, CG FM radio continues to have a lot of audience which makes us the best on western zone.

YOU ARE HOME

TWITTER

My Tweets

Menu

  • HOME
  • News
  • Listen Live
  • Advertise