Skip to content
CGFM
  • Home
  • Listen Live
  • News
  • Presenters
  • Gallery
  • Advertise
Local

Jeshi la polisi mkoani TABORA linaendelea na uchunguzi wa…

  • February 20, 2018

Jeshi la polisi mkoani TABORA linaendelea na uchunguzi wa matukio mawili tofauti ya kujeruhi.

Kamanda wa polisi mkoa wa TABORA,Kamishna Msaidizi Mwandamizi WILBROAD MUTAFUNGWA amesema mtu mmoja aliyefahamika  kwa jina la JOSEPH LUKASI,mkazi wa kitongoji cha UHEMELI,kata ya NDALA wilayani NZEGA amejeruhiwa vibaya katika sehemu zake za siri na kitu chenye ncha kali akiwa nyumbani kwake na mtu asiyejulikana.

Ameongeza kuwa katika tukio hilo watu kadha wamekamatwa na wanahojiwa  kuhusiana na tukio hilo.

Katika tukio la pili,mtu mmoja KULWA JACKSON,mkazi wa kijiji cha IZIMBILI, kata ya UYUMBU wilayani URAMBO amejeruhiwa sehemu mbali mbali za mwili wake baada ya kuvamiwa akiwa nyumbani kwake.

Kufuatia tukio hilo Kamanda MUTAFUNGWA amesema uchunguzi wa awali unaonesha chanzo ni ugomvi wa urithi wa shamba.

Ameongeza kuwa uchunguzi wa jeshi la polisi unaonesha kuwa matukio ya kuheruhi yameanza kujitokeza katika mkoa wa TABORA.

Share this:

  • Click to share on Twitter (Opens in new window)
  • Click to share on Facebook (Opens in new window)
  • Click to share on Google+ (Opens in new window)

Related

Serikali imepiga marufuku biashara,mahubiri na siasa ndani ya mabasi.
Messi aiokoa Barcelona Uingereza Michuano ya Ligi Kuu Barani Ulaya.

Related articles

Msanii Sam wa Ukweli ameaga…
Mazishi ya pacha Maria na…
Vladmir Putin aizuru Austria.
Jeshi la Zimamoto lakanusha madai…
TABORA: Biashara ya Magimbi yashamiri…
Serikali imetenga fedha kwa ajili…

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

On Air Now

Download CG Google App here

CLICK TO PLAY CG ONLINE TV

Advertise here

ABOUT US

CG FM RADIO is the radio station that based in Tabora – Tanzania that targets all age groups. Due to its moral observation and ethical programs, CG FM radio continues to have a lot of audience which makes us the best on western zone.

YOU ARE HOME

TWITTER

My Tweets

Menu

  • HOME
  • News
  • Listen Live
  • Advertise