Skip to content
CGFM
  • Home
  • Listen Live
  • News
  • Presenters
  • Gallery
  • Advertise
Nigeria Image by StarAfrica Sports

Jumapili hii ni NIGERIA vs MOROCCO katika michuano ya…

  • February 1, 2018February 1, 2018

Timu ya Taifa ya NIGERIA itakutana na wenyeji MOROCCO katika fainali ya C kwa wachezaji wanaocheza katika bara la AFRIKA-CHAN itakayochezwa Jumapili wiki hii.

Hiyo ni baada ya timu zote kushinda mechi zao za Nusu Fainali jana, MOROCCO wakiwatoa jirani zao,LIBYA na NIGERIA wakiwatoa SUDAN  ambapo NIGERIA ilipata ushindi wa bao moja kwa sifuri huku MOROCCO ikishinda mabao matatu kwa moja.

Mchezo wa kumtafuta mshindi wa tatu utachezwa keshokutwa kwa LIBYA na SUDAN kupambana kuanzia saa nne usiku huku pia mchezo wa fainali ukichezwa muda huo huo.

Share this:

  • Click to share on Twitter (Opens in new window)
  • Click to share on Facebook (Opens in new window)
  • Click to share on Google+ (Opens in new window)

Related

TABORA: MILAMBO FC na JKT MSANGE Uso kwa Uso Ligi Daraja la Pili.
TANZIA: Mzee Kingunge Ngombale-Mwiru afariki dunia Tanzania

Related articles

Simba Yamsajili Adam Salamba.
Roman Abrahamovich ahamia Israel.
Kipa wa Liverpool atishiwa maisha.
Haji Manara, Simba na Yanga…
Serengeti Boys wa Tanzania watwaa…
Wachezaji wanajua umuhimu wa mechi…

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

On Air Now

Download CG Google App here

CLICK TO PLAY CG ONLINE TV

Advertise here

ABOUT US

CG FM RADIO is the radio station that based in Tabora – Tanzania that targets all age groups. Due to its moral observation and ethical programs, CG FM radio continues to have a lot of audience which makes us the best on western zone.

YOU ARE HOME

TWITTER

My Tweets

Menu

  • HOME
  • News
  • Listen Live
  • Advertise