Skip to content
CGFM
  • Home
  • Listen Live
  • News
  • Presenters
  • Gallery
  • Advertise

Kenya yatakiwa kuwachukulia hatua polisi waliohosika na mauaji

  • October 16, 2017October 16, 2017
Mwanamke akikimbia baada ya polisi wa kuzuia maandamano kufika katika makazi yake, polisi walikuwa wakifukuza waandamanaji.

Mashirika mawili ya Haki za Binadamu yameitaka serikali ya Kenya kuchunguza na kuwaadhibu maafisa wa polisi wanaodaiwa kuhusika na mauaji ya watu wengi wakati wa maandamano yanayofanywa na wapinzani, baada ya uchaguzi wa Agosti nane.

Waandamanaji.

Ripoti zilizotolewa na Amnesty International na Human Right Watch inawahusisha polisi na mauaji ya karibu watu karibu 70 nchi nzima, huku karibu nusu yao wakitokea mji mkuu, Nairobi.

Ripoti hiyo pia imewalaumu polisi kwa kuongeza hali ya wasiwasi kutokana na kutawanya kwake vikosi vyake katika maeneo yanayoonekana kuwa ngome ya upinzani.

 

Share this:

  • Click to share on Twitter (Opens in new window)
  • Click to share on Facebook (Opens in new window)
  • Click to share on Google+ (Opens in new window)

Related

Austria kumchagua kiongozi mwenye umri mdogo zaidi duniani
Uchaguzi Liberia: Weah na Boakai kuelekea duru ya pili ya uchaguzi wa rais

Related articles

Mabaki ya ndege iliotoweka na…
Refa Mkenya aliyeteuliwa na Fifa…
Rais Madagascar ateuwa waziri mkuu…
Bodi ya usimamizi wa shule…
Mchungaji auawa akiwabatiza waumini Ziwani
Volkano yasabisha vifo vya watu…

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

On Air Now

Download CG Google App here

CLICK TO PLAY CG ONLINE TV

Advertise here

ABOUT US

CG FM RADIO is the radio station that based in Tabora – Tanzania that targets all age groups. Due to its moral observation and ethical programs, CG FM radio continues to have a lot of audience which makes us the best on western zone.

YOU ARE HOME

TWITTER

My Tweets

Menu

  • HOME
  • News
  • Listen Live
  • Advertise