Skip to content
CGFM
  • Home
  • Listen Live
  • News
  • Presenters
  • Gallery
  • Advertise

Kiwango cha ukusanyaji wa damu katika Manispaa ya TABORA…

  • October 31, 2017

 

Kiwango cha ukusanyaji wa damu katika Benki ya Damu Salama Kanda ya Magharibi kimepungua katika Manispaa ya TABORA kutoka lengo la ukusanyaji wa chupa l,709 hadi  chupa 828 kwa mwezi Septemba mwaka huu.

Mkuu wa kitengo cha ukusanyaji damu Benki ya Damu,Kanda ya Magharibi, NYAWADE MAGESA amesema baada ya kampeini ya uchangaji damu,wachangiaji wamepungua hivyo amewasihi wananchi kujitokeza kuchangia damu kwa hiari ili kuokoa maisha ya wahitaji.

Ameongeza kuwa kwa sasa kila halmashauri mkoani TABORA inajitegemea katika ukusanyaji wa damu.

Share this:

  • Click to share on Twitter (Opens in new window)
  • Click to share on Facebook (Opens in new window)
  • Click to share on Google+ (Opens in new window)

Related

Miili 9 iliyokatwakatwa yapatikana kwenye nyumba Tokyo Japan.
TABORA: Serikali wilayani UYUI itawachukulia hatua kali za kisheria vijana watakao bainika kuwapa mimba wanafunzi.

Related articles

Msanii Sam wa Ukweli ameaga…
Mazishi ya pacha Maria na…
Vladmir Putin aizuru Austria.
Jeshi la Zimamoto lakanusha madai…
TABORA: Biashara ya Magimbi yashamiri…
Serikali imetenga fedha kwa ajili…

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

On Air Now

Download CG Google App here

CLICK TO PLAY CG ONLINE TV

Advertise here

ABOUT US

CG FM RADIO is the radio station that based in Tabora – Tanzania that targets all age groups. Due to its moral observation and ethical programs, CG FM radio continues to have a lot of audience which makes us the best on western zone.

YOU ARE HOME

TWITTER

My Tweets

Menu

  • HOME
  • News
  • Listen Live
  • Advertise