Skip to content
CGFM
  • Home
  • Listen Live
  • News
  • Presenters
  • Gallery
  • Advertise

Leo ikiwa ni mwaka mpya wa kiislamu,waislamu mkoani TABORA…

  • September 22, 2017


Leo ikiwa ni mwaka mpya wa kiislamu,waislamu kote duniani wakikumbuka tukio la Hijra Mtume MUHAMAD kuhama mji mtukufu wa MAKKA kwenda MADINA,waislamu mkoani TABORA wametakiwa kujitathmini na kujikita katika uchamungu.
IMAM wa msikiti mkuu Aljumaa mkoani TABORA Alhaji SHABANI SALUMU SHABANI amewataka waislamu kusherehekea mwaka huu kwa kubadilika kwa kuacha matendo ya kumuasi Allah na kurejea katika misingi ya uislamu.

Amesema miongoni mwa alama za uislamu ni kuupata mwaka mpya hivyo waislamu wanapaswa kumshukuru Allah na kubadilika katika matendo na katika nafsi zao.

 

 

Share this:

  • Click to share on Twitter (Opens in new window)
  • Click to share on Facebook (Opens in new window)
  • Click to share on Google+ (Opens in new window)

Related

Kimbunga Maria: Kisiwa chote cha Puerto Rico hakina umeme
Wanasayansi watengeneza kinga mpya ya mwili inayoweza kushambulia 99% ya HIV.

Related articles

Msanii Sam wa Ukweli ameaga…
Mazishi ya pacha Maria na…
Vladmir Putin aizuru Austria.
Jeshi la Zimamoto lakanusha madai…
TABORA: Biashara ya Magimbi yashamiri…
Serikali imetenga fedha kwa ajili…

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

On Air Now

Download CG Google App here

CLICK TO PLAY CG ONLINE TV

Advertise here

ABOUT US

CG FM RADIO is the radio station that based in Tabora – Tanzania that targets all age groups. Due to its moral observation and ethical programs, CG FM radio continues to have a lot of audience which makes us the best on western zone.

YOU ARE HOME

TWITTER

My Tweets

Menu

  • HOME
  • News
  • Listen Live
  • Advertise