Skip to content
CGFM
  • Home
  • Listen Live
  • News
  • Presenters
  • Gallery
  • Advertise

Ligi kuu Tanzania bara kuendelea wikiendi hii huku kukiwa…

  • September 22, 2017

Ligi kuu soka Tanzania bara itaendelea kesho na keshokutwa  ambapo kutakuwa na michezo saba YOUNG AFRICANS itacheza na NDANDA FC ya Mtwara kwenye Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam.

Michezo mingine itakuwa ni Singida United itaialika Kagera Sugar kwenye Uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma wakati Tanzania Prisons itakuwa mgeni wa Mwadui ya Shinyanga katika mchezo utaofanyika Uwanja wa Mwadui ilihali Majimaji itakuwa mwenyeji wa Njombe Mji kwenye Uwanja wa Majimaji mjini Songea.

Jumapili Ruvu Shooting itaialika Mtibwa Sugar kwenye Uwanja wa Mabatini, Mlandizi mkoani Pwani huku Stand United ikicheza na Mbeya City kwenye Uwanja wa Kambarage mkoani Shinyanga.

Mechi zote zitaanza saa 10.00 jioni, Ila mchezo kati ya AZAM na LIPULI utaanza saa 1.00 jioni kwenye Uwanja wa Azam ulioko Chamazi.

Share this:

  • Click to share on Twitter (Opens in new window)
  • Click to share on Facebook (Opens in new window)
  • Click to share on Google+ (Opens in new window)

Related

Mahakama ya rufaa TANZANIA Mkoani Tabora imeanza kikao cha kusikiliza Mashauri 25.
Mlinzi wa klabu ya LIVERPOOL ya nchini UINGEREZA JOEL MATIP Amesifu uwezo wa Kocha mkuu wa kikosi cha JURGEN KLOPP.

Related articles

Simba Yamsajili Adam Salamba.
Roman Abrahamovich ahamia Israel.
Kipa wa Liverpool atishiwa maisha.
Haji Manara, Simba na Yanga…
Serengeti Boys wa Tanzania watwaa…
Wachezaji wanajua umuhimu wa mechi…

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

On Air Now

Download CG Google App here

CLICK TO PLAY CG ONLINE TV

Advertise here

ABOUT US

CG FM RADIO is the radio station that based in Tabora – Tanzania that targets all age groups. Due to its moral observation and ethical programs, CG FM radio continues to have a lot of audience which makes us the best on western zone.

YOU ARE HOME

TWITTER

My Tweets

Menu

  • HOME
  • News
  • Listen Live
  • Advertise