Skip to content
CGFM
  • Home
  • Listen Live
  • News
  • Presenters
  • Gallery
  • Advertise

Mahakama ya rufaa TANZANIA Mkoani Tabora imeanza kikao cha…

  • September 22, 2017


Mahakama ya Rufaa TANZANIA imeanza kikao cha wiki mbili mkoani TABORA chini ya uenyekiti wa Jaji MBAROUK SALIM ambapo jumla ya mashauri 25 yatasikilizwa na kutolewa maamuzi.

Kwa mujibu wa Kaimu Msajili wa Mahakama ya Rufaa TANZANIA,AMIR HAMIS MSUMI,majaji wengine ni Jaji STELLA MUGASHA na Jaji JACOBS MWAMBEGELE.

Amesema kuwa kati ya mashauri yanayosikilizwa,Tisa ni ya rufaa za jinai,Sita ni maombi ya rufaa za jinai,matano ni rufaa za madai huku maombi ya rufaa za madai yakiwa ni matano.

Kaimu Msajili huyo amebainisha kuwa katika rufaa zinazosikilizwa na majaji hao ni zile za muda mrefu mpya zenye maombi ya dharura.

Share this:

  • Click to share on Twitter (Opens in new window)
  • Click to share on Facebook (Opens in new window)
  • Click to share on Google+ (Opens in new window)

Related

Mamlaka ya Mapato TANZANIA –TRA- mkoa wa TABORA inakusudia kukusanya shilingi Bilioni 25 katika mwaka huu wa fedha 2017-2018.
Ligi kuu Tanzania bara kuendelea wikiendi hii huku kukiwa na michezo kadhaa itakayopigwa katika viwanja mbalimbali.

Related articles

Msanii Sam wa Ukweli ameaga…
Mazishi ya pacha Maria na…
Vladmir Putin aizuru Austria.
Jeshi la Zimamoto lakanusha madai…
TABORA: Biashara ya Magimbi yashamiri…
Serikali imetenga fedha kwa ajili…

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

On Air Now

Download CG Google App here

CLICK TO PLAY CG ONLINE TV

Advertise here

ABOUT US

CG FM RADIO is the radio station that based in Tabora – Tanzania that targets all age groups. Due to its moral observation and ethical programs, CG FM radio continues to have a lot of audience which makes us the best on western zone.

YOU ARE HOME

TWITTER

My Tweets

Menu

  • HOME
  • News
  • Listen Live
  • Advertise